Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam tv wanaonyshaHii game inarushwa ama ndo kinyozi hajinyoi.
Yap,Yanga walipigwa mbili CCM Kirumba ni kawaida yao kutia aibu nchi.mechi kam hii yanga alichezea goli mbili kule mwanza
Yap waliojiona miamba wakataka ushujaa kwa kufosi, wakaona hawa mafarao tukiwapeleka pale kwa mkapa watacheza kama wako kwaoYap,Yanga walipigwa mbili CCM Kirumba ni kawaida yao kutia aibu nchi.
Mpira ulishaisha 0-0Ngapi huko dakika ya ngapi?
Ni faida kwa Azam. Wakifika Misri wapige kamoja tu! Hata wakisawazisha bado Azam watasonga mbele!! Safi sana, syo kama yanga waliotuvika aibu kwa kufungwa nyumbani.Mpira ulishaisha 0-0
Nilijua tu utakuwa wa dar wengi mnamatizo ya afya ya akili.ila hayo co yangu ni kwa mujibu wa wabobezi wa afyaUzi ni wa Azam na Pyramid
Sasa hapo Yanga inahusiana na nini? Au tengenezeni uzi wa kuongea umbeya kuhusu Yanga ili tuwaelewe
Kila kitu unachowaza ni Yanga tuuu
Huo ni ushoga
Nipo Mbagala Zakhiem Dar es Salaam, njooni mnikamate mniue
Kwahyo kile kichapo cha juzi hakijatosha?Taratibu basi mtani huu utani wa jadi auhitaji hasira.
Simmeiomba bonaza la kujipima nguvu kwa Mkapa ngojeni sasa tutoke Botswana.
Aya sawaNilijua tu utakuwa wa dar wengi mnamatizo ya afya ya akili.ila hayo co yangu ni kwa mujibu wa wabobezi wa afya
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app