wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Uzi hauna hata updates. Moderators nao sijui wanafanya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Makolo FC huwa wanawashwa sanaa bila kuiongelea Yanga. Wanateseka mnooo. Tuwasamehe bureYaani uzi hauna mahusiano na Yanga, ila lazima uifanyie umbea
Kwanini usiende kwenye thread ya Yanga au Nyuzi za Yanga hamzioni
Huwezi kukuta Mtu wa Yanga anawaongelea Makolo tofauti ya uzi husika unavyojieleza...Makolo FC huwa wanawashwa sanaa bila kuiongelea Yanga. Wanateseka mnooo. Tuwasamehe bure
Naona mmebebwa hapoHuwezi kukuta Mtu wa Yanga anawaongelea Makolo tofauti ya uzi husika unavyojieleza
Sawa
Taratibu basi mtani huu utani wa jadi auhitaji hasira.
Simmeiomba bonaza la kujipima nguvu kwa Mkapa ngojeni sasa tutoke Botswana.
Na msimu ule kuna timu ikapigwa 5+5+5=15 mechi tatu.Yap waliojiona miamba wakataka ushujaa kwa kufosi, wakaona hawa mafarao tukiwapeleka pale kwa mkapa watacheza kama wako kwao
Sijui nani alitoa ushauri ule kua waende mwanza kwenye uwanja ambao hata wao kihistoria hawajawahi kuwa na matokeo mazuri. Ingekua manara alikuwepo ningesema ni yeye alitoa huu ushauri mbovu, sa sijui nani huyo
Walukutana na akina Litombo,mwakani tunamleta Vumbi Ngimbi.Kwahyo kile kichapo cha juzi hakijatosha?
Kwanza wachezaji mnao wa kucheza na Yanga
Walishagafumuliwa zamani haoMwanaume anafatilia maisha yake na sio maisha ya mwingine wewe kolo bwenzi mkubwa
Afu na bado ikafika robo fainali, wakati huo timu ambayo haikupigwa goli hizo hata makundi haikufikaNa msimu ule kuna timu ikapigwa 5+5+5=15 mechi tatu.
Ilifika huko ikiwa imetobolewa kama 0zone layer 2090 ADAfu na bado ikafika robo fainali, wakati huo timu ambayo haikupigwa goli hizo hata makundi haikufika
na ikarudi na kitita cha zaidi ya Billion 1, huku timu nyingine ikiendelea kutembeza bakuliIlifika huko ikiwa imetobolewa kama 0zone layer 2090 AD
Wakati huo huo ,mwekezaji anapata hasara kila mwaka:na ikarudi na kitita cha zaidi ya Billion 1, huku timu nyingine ikiendelea kutembeza bakuli
Upande wa pili wanafurahia wakisikia hivyo, at the same time wana umia kuona bado mwekezaji anaendelea kuwekeza zaidi na zaidiWakati huo huo ,mwekezaji anapata hasara kila mwaka: