FT: Azam 0 Pyramids 0

FT: Azam 0 Pyramids 0

Yaani uzi hauna mahusiano na Yanga, ila lazima uifanyie umbea

Kwanini usiende kwenye thread ya Yanga au Nyuzi za Yanga hamzioni
 
Kila mtu akikaa akiwashwa tu basi anaanza kuongelea Yanga, na lengo lake akunwe vizuri
 
Mjifunze kuongelea sawa na uzi unavyojieleza na sio mihemko yenu iliyo kichwani coz humu sio Facebook wala isntagram
 
Yaani uzi hauna mahusiano na Yanga, ila lazima uifanyie umbea

Kwanini usiende kwenye thread ya Yanga au Nyuzi za Yanga hamzioni
...Makolo FC huwa wanawashwa sanaa bila kuiongelea Yanga. Wanateseka mnooo. Tuwasamehe bure
 
Huwezi kukuta Mtu wa Yanga anawaongelea Makolo tofauti ya uzi husika unavyojieleza
Naona mmebebwa hapo

EFB3F9E6-E49E-4483-B85E-424C6319AAED.png
 
Taratibu basi mtani huu utani wa jadi auhitaji hasira.
Simmeiomba bonaza la kujipima nguvu kwa Mkapa ngojeni sasa tutoke Botswana.

Teh teh teh teh...🤣🤣🤣...amepaniki huyo utopolo...teh teh teh teh...😂😂😂
 
Yap waliojiona miamba wakataka ushujaa kwa kufosi, wakaona hawa mafarao tukiwapeleka pale kwa mkapa watacheza kama wako kwao

Sijui nani alitoa ushauri ule kua waende mwanza kwenye uwanja ambao hata wao kihistoria hawajawahi kuwa na matokeo mazuri. Ingekua manara alikuwepo ningesema ni yeye alitoa huu ushauri mbovu, sa sijui nani huyo
Na msimu ule kuna timu ikapigwa 5+5+5=15 mechi tatu.
 
Wakati huo huo ,mwekezaji anapata hasara kila mwaka:
Upande wa pili wanafurahia wakisikia hivyo, at the same time wana umia kuona bado mwekezaji anaendelea kuwekeza zaidi na zaidi

Wanagundua dhana ya hasara kumbe ilikua ni trick ya mwekezaji kuwafanya upande wa pili waone simba inamuingizia hasara
 
Back
Top Bottom