nao watapata goliItakupoa mechi ikaisha 0-2 au 0-3
Mlikua hamjui😅 mbona tunasemaga kila sikuAzam wanajua kuikamia Yanga tu 🚮🚮🚮
Sifa za Kijinga kwa Kipa wenuInabadilisha nini
Eh Tunaumia manake Simba Bingwa mwaka huu au nasema uwongo mtani?Kinachojiri mseme jama,maana ni kama Utopolo hawana Raha vile...!
😂😂Hawa Azam sio wa kuwawekea mdhamana😏
Kumbe kapombe bado anacheza mpira?
Azam hamna timu wala haina malengo katika maisha yake 😀😀😀 Bakhresa awaajiri tu wakauze ice cream 🚮🚮🚮
View attachment 3107568Alhamis hii katika NBC Premier League ni Mzizima Derby, Azam FC kukipiga na wekundu wa msimbazi Simba SC
Mtanange huu utapigwa katika dimba la New Amaan Complex,
View attachment 3106819
View attachment 3107567
Dakika ya 15 Goooal Ateba Azam 0 - 1 Simba
😂😂😂 kijana wa miaka 40 huyu