FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

Hapana, wachezaji wengi wa Azam refa aliwa vunja Moyo Sana, Kuna muda walipata in direct kick waka weka mpira Nchini na ku uanza faster, Refa aka zuia shambulizi lao eti wasubiri Simba wawekee ukuta.

Yaani ni comedy tupu.
Acha uongo hakuzuia ili Simba aweke ukuta bali Azam waliiba eneo la kuanzishia mpira zaidi ya mita moja kitu ambacho kwa sheria za mpira hakikubaliki.

Hivi kwanini unapenda kusema uongo hata kwa vitu vilivyo wazi kabisa? Hukuona Azam walirudisha mpira nyuma zaidi baada ya mpira wa awali kuanzishia mbele zaidi ya eneo ilipotokea faulu?
 
Offside ya Bacca Mbeya ambalo ni goli la ushindi umeiona.Goli la Ken Gold umeliona?
Kelele mwaka huu zimeanza mapema sana.Kulikoni?Chezeni mpira wacheni lia lia.Lia Lia FC.
Kumbe bacca alikuwa offside🤣 wewe Mpira uliangalia WA kwako tu sio ule wa yanga na ken gold, mchezaji atoke nyuma afunge alafu iwe offside? Mangungu aliwaelekeza ivyo kwa Sheria zake za offside!
 
Hujui mpira!
Faulo inapigwa , wakati mchezaji wa Simba anapiga kichwa Ngoma yuko in offside position. Kipa kaokoa ukamrudia Ngoma akafunga yuko offside!! Wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono ila refa Sasii nae kolo wahed , kaweka kati , uonevu mkubwa! Bahasha zimfikie refa kafanya kazi nzuri aliyotumwa!

Hamna timu makolo nyie, ndo maana mpo ligi ya mademu shirikisho!!
Mpira wa kichwa wa Kibu uliokolewa wakati mpira umeshavuka mstari. Lile goli anatakiwa apewe Kibu na siyo Ngoma.
 
Matokeo ni muhimu zaidi. Pia hii mechi imechezwa siku 3 tu baada ya mechi ngumu za CAF + safari ndefu ya km 15,000 kwenda na kurudi Libya.
mkuu siku 3 kwenda na kurudi wakati juzi mmechezea hapa dar tena na timu mbovu iliyo chapwa na biashara
 
Mpambana wa kugombea nafasi ya pili msimu huu utakuwa mkali sana, nawaona simba,singida black stars pamoja na azam wakitoana roho kuipata nafasi hii adimu ya kuungana na machampioni Yanga kwenda kushiriki caf champions league mwakani
hao wanahangaika tu mwenye hiyo nafasi katulia utopwinyo anawachekaaa
 
Yote hayo uliyoyataja hayatengenezi Class.

Mbape anacheza ligi ngumu ulaya.lakini haimfanyi awe class Moja na Ronaldo. Messi anayecheza ligi rahisi Marekani ndiyo yupo class Moja na Ronaldo.

Wewe hujiulizi ni kwa nini wamepita wachezaji wengi sana ila wanaolinganishwa ni Hawa tu wanne? yaani.

1. Pele Vs Maradona
2. Messi Vs Ronaldo

Kujenga class siyo jambo rahisi ndugu yangu utopolo.
Hujielewi wewe unaropoka.
Unazunguka zunguka kama mpira wa kona.
Yanga it has class,na utake usitake hiyo nafasi ya CAF ambayo unajivunia soon unashuka kwasababu Yanga imeshaanza kupanda juu tena.
Msimu huu wa CAF ukiisha hautakuwepo nafasi ya 7 kama unavyojinadi kijana.
Endelea kujifariji ila Yanga kivyovyote ni timu kubwa kuliko Simba.
 
Ateba ndiyo kaumia, alirudi ila aliendelea kuchechemea hadi alipotolewa. Vipi umesusia chama lako?
Haaaa...naanzaje aisee..sema nilikua nimechoka kuangalia na ilitakiwa kuamka mapema..
Simba hii unaisusajeee..yani nimekaa na simba miaka yote hyo nije kuisusa leoo...hapana
 
Hujui mpira!
Faulo inapigwa , wakati mchezaji wa Simba anapiga kichwa Ngoma yuko in offside position. Kipa kaokoa ukamrudia Ngoma akafunga yuko offside!! Wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono ila refa Sasii nae kolo wahed , kaweka kati , uonevu mkubwa! Bahasha zimfikie refa kafanya kazi nzuri aliyotumwa!

Hamna timu makolo nyie, ndo maana mpo ligi ya mademu shirikisho!!
Unaongozwa za hisia za UTOPWINYOOO..TOA HUO MWIKO HUKO NYUMA
 
Amefungwa Azam maumivu anayapata Utopolo
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Haaaa...naanzaje aisee..sema nilikua nimechoka kuangalia na ilitakiwa kuamka mapema..
Simba hii unaisusajeee..yani nimekaa na simba miaka yote hyo nije kuisusa leoo...hapana
Aha sawaa nilitaka kushangaa dear
 
Back
Top Bottom