chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Unajifanya unamjua sana Mwanaume mwenzako sio?!Zuga tu hiyo anaifanya.
Sisi tunamuangalia sura yake alipokuwa dimbani. Feisal akiwa anedhamiria jambo huwa kuna mishipa fulani usoni kwake inavimba na anaachama mdomo