FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

Azam haifai hata kucheza Shirikisho.

Pia Simba ingeamua leo ilikuwa na uwezo wa kuifunga Azam hata goli 7.
 
Pia Mabosi wa Azam leo wana furaha mioyoni mwao. Kuna mmoja nimemuona KAJAWA NA TABASAMU ZITO USONI
 
Kuna mtu kaumia?? Tuna daktari /kocha wa viungo mzuri kwa sasa...hakuna kukaa benchi wiki..
Mm siangalii mpira hii second half nimeshatoka kwa Tv
Ateba ndiyo kaumia, alirudi ila aliendelea kuchechemea hadi alipotolewa. Vipi umesusia chama lako?
 
Simba ikikufunga we mwenyewe unaridhika umefungwa kihalali ila siyo yanga we si unaona jana Ken gold wamenyimwa goli halali ili yanga ashinde ila ilitakiwa iwe draw ya 1-1
 
Gharama ya mchezaji haifanyi timu iwe top class.

Kwenye rank kati ya Yanga na Simba ipi ipo juu? Kwa mtazamo wako huu hoja yako kuwa Yanga ni bora kwa kuwa waliwafunga Azam inakufa kifo cha asili

Kiwango na ubora si jambo la kudumu. Jambo la kudumu kwenye Mpira ni daraja.
Wewe umeingilia mada katikati bila hata kujua niliyekuwa najadiliana nae alisema nini na kwanini nimejibu hivyo. Huko juu kuna mtu kaandika kuwa huko alipo Gamondi roho juu kuigopa Simba. Nikamjibu kuwa Gamondi kaishacheza dhidi ya Al Ahly, Belouizdad, na Mamelodi ambao hizo timu ni top class kuliko Simba. Kwahiyo unakataa kuwa Al Ahly sio bora kuliko Simba?
Unakataa Mamelodi sio bora kuliko Simba?
Belouizdad alikuwa juu ya Simba kwa ubora ila Yanga ndiye iliyo mshusha.
Uwe unafatilia mtiririko wa comments sio kukurupuka tu kuingilia mada
 
Jamaa nilijua umemuelewa kumbe hukumuelewa. Alichoandika ni kuwa hakuna mpira wa uchawi, kama unajua unajua na kama hujui hujui tu. Uchawi hauleti mafanikio kwenye mpira. Hivyo kinachofanyika na Yanga sio kutokana na uchawi bali ni uwezo na ubora wao. Kama unalikataa hilo basi njoo utoe uthibitisho wa timu zilizowahi kufanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa kutokana na kuwa vizuri kwenye uchawi.
Nimemuelewa sana ila hatuwezi kuacha kuusema ujinga eti kwakua tu hauna madhara.
 
Simba ikikufunga we mwenyewe unaridhika umefungwa kihalali ila siyo yanga we si unaona jana Ken gold wamenyimwa goli halali ili yanga ashinde ila ilitakiwa iwe draw ya 1-1
Azam alipofungwa 4 na Simba naye alipofungwa haikuwa halali
 
Kelele mwaka huu zimeanza mapema Kisingizio namba 1 Azam na Feisal .Namba 2 Karia na TFF. Namba 3 Marefa.
 
Hapana, Feisal baada ya mechi alikua ana lalamika na refa Kheri sasi kwa uchungu mkubwa.
Zuga tu hiyo anaifanya.
Sisi tunamuangalia sura yake alipokuwa dimbani. Feisal akiwa anedhamiria jambo huwa kuna mishipa fulani usoni kwake inavimba na anaachama mdomo
 
Ni kweli, Simba Leo ilikuwa down ila ukiangalia imetoka kucheza mechi nzito na ukizingatia ratiba ya siku hizi mbili tatu, mara media day mara kwenda Ikulu, wengi tulijua tu timu ingepata shida. Kwa mpira aliocheza Azam leo, Simba isingekuwa na uchovu Azam kweli wangekula nyingi.

Simba kushiriki CAFCL msimu huu isingekuwa jambo jema kwa sababu kikosi kimefumuliwa. Huu ni msimu wa kujenga upya timu, Shirikisho ndiyo panaifaa zaidi madogo wapate uzoefu, huko Klabu Bingwa itarudi msimu ujao kwa kishindo.
 
Nimemuelewa sana ila hatuwezi kuacha kuusema ujinga eti kwakua tu hauna madhara.
Ujinga kama hauna madhara ina maana yule anayefanya ujinga anajisumbua na kujipotezea pesa na muda hivyo kumpambania mjinga ni kujisumbua. Labda iwe inamkera mtu kwavile una mdhuru.
 
Zuga tu hiyo anaifanya.
Sisi tunamuangalia sura yake alipokuwa dimbani. Feisal akiwa anedhamiria jambo huwa kuna mishipa fulani usoni kwake inavimba na anaachama mdomo
Hapana, wachezaji wengi wa Azam refa aliwa vunja Moyo Sana, Kuna muda walipata in direct kick waka weka mpira Nchini na ku uanza faster, Refa aka zuia shambulizi lao eti wasubiri Simba wawekee ukuta.

Yaani ni comedy tupu.
 
Back
Top Bottom