OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Puliza kipyenga ya offsideMagoli yote ni offside🚮 refa kaharibu mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Puliza kipyenga ya offsideMagoli yote ni offside🚮 refa kaharibu mchezo
Wanaamini sana ushirikina na ndio maana wanaleta hizi mambo.Alafu hii ndio kitu nashindwaga kuelewa...waafrica sie kuomba kwingi lakini wadhunhawanaga hayo mambo na kipigo wanatupa
Au mungu wao ni special zaidi🤔🤔🤔🤔
Na uchovu pia ule mtanange na Tripol haukuwa poa.Tumeshinda lakini wachezaji wetu wamefanya makosa mengi sana ya kimaamuzi. Benchi la ufundi wafanyie kazi hili suala. Maamuzi ya wachezaji ndio mpira wenyewe.
TFF waangalie pia hilo atawapigaje makofiNa kiongozi wao kaoneshwa jukwaani akipiga makofi baada mpira kuisha
Kwenye ligi? Tulia usome nilichoandika.Hakuna timu ya kuifunga Simba wakati alishafungwa tarehe 8 mwezi wa nane
Gamondi alishacheza na Al Ahly, Belouizdad, Mamelodi ambazo zilikuwa top class kuliko Simba ndio awe na kiwewe na Simba leo hii kwa lipi? Mmecheza na Azam ambayo Yanga kaichapa goli 4 na katika michezo yao imeshinda mechi moja tu juzi.Gamondi huko aliko kiwewe. Itabidi aanze kuhudhuria mechi zetu kama mwaka juzi ajifunza mpira .
Waafrica kuloga tuu kushinda kombe la dunia aahhhWanaamini sana ushirikina na ndio maana wanaleta hizi mambo.
Hata sababu ya kuleta mechi huku Zanzibar yaweza ikawa ni mapendekezo ya mganga.
Matokeo ni muhimu zaidi. Pia hii mechi imechezwa siku 3 tu baada ya mechi ngumu za CAF + safari ndefu ya km 15,000 kwenda na kurudi Libya.mkuu kwa mpira gani, mbona umekimbizwa sana tu
Ameangalia thamani ya kikosi chake na kuona hakifiki Bilion 3 na wamepigwa 2 tuNa kiongozi wao kaoneshwa jukwaani akipiga makofi baada mpira kuisha
Mkifungwa msilete tu vizingizio maana hata kabla ya tarehe 8 mlijitapa mtawapima umri wachezaji wa Yanga ila mkapigwa goli la playstation watu hao wanashangilia tuKwenye ligi? Tulia usome nilichoandika.
Manji aliwahi kutoa fungu kwa ajili ya kuwapa waganga ili wafanikishe ushindi kwenye friendly match dhidi ya BrazilWaafrica kuloga tuu kushinda kombe la dunia aahhh
Who cares about Kengold ambitions? Yanga waliwafunga moja kwa shida.Sasa ambitions za kengold na azam ni sawa wewe?
Simba atafungwa tuu...wee tulia simba akishaanza kwenda mkoani huko ndio utajua simba imara au mdebwedo
Hata kama lakini ukiangalia kwa jicho la kitaalam, si makosa ya uchovu bali papara. Pasi nyingi mkaa, kuchelewa kutoa pasi panapostahili. Wanahitaji kujitathmini.Na uchovu pia ule mtanange na Tripol haukuwa poa.
Top class kuliko Simba Kwa kigezo gani?Gamondi alishacheza na Al Ahly, Belouizdad, Mamelodi ambazo zilikuwa top class kuliko Simba ndio awe na kiwewe na Simba leo hii kwa lipi? Mmecheza na Azam ambayo Yanga kaichapa goli 4 na katika michezo yao imeshinda mechi moja tu juzi.