Hayupo kuthibitisha kwa Timu unayong'ang'aniza wewe na akili yako.......Thibitsha hilo mwez wa 10
Sipo hapa kubattle na mtu Chief...
Na enjoy soccer tu baada ya hapo maisha yanaendelea ......đź‘‹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo kuthibitisha kwa Timu unayong'ang'aniza wewe na akili yako.......Thibitsha hilo mwez wa 10
Uzima ukiwepo, tutaendelea kukutana hapa na nitakuwa nkiendelea kukukumbusha.Mkifungwa msilete tu vizingizio maana hata kabla ya tarehe 8 mlijitapa mtawapima umri wachezaji wa Yanga ila mkapigwa goli la playstation watu hao wanashangilia tu
Mambo ya CCM hayo wazazibar wenyewe wanauita camp NouPitch mbovu sana. Mpira ukipigwa au ukidunda unatifua udongo. Ni kama wanachezea kwenye sakafu
Kama hujui boli hujui tuu hamna cha mganga.Manji aliwahi kutoa fungu kwa ajili ya kuwapa waganga ili wafanikishe ushindi kwenye friendly match dhidi ya Brazil
Tulifungwa 6 na mengine tulibisha
Mashabiki wengi wa Yanga hawajui Mpira.Uzima ukiwepo, tutaendelea kukutana hapa na nitakuwa nkiendelea kukukumbusha.
Kazi yao ya kuibeba Simba wameifanya vizuri.Ila waamuzi wa leo Ingekua mimi ningewafukuz wote
Nikama hawajui kazi yao
Yanga kachukuwa point tatu....hilo ndio lengo.Who cares about Kengold ambitions? Yanga waliwafunga moja kwa shida.
Hakuna cha mkoani msimu huu. Kuna vikosi viwili vizuri kabisa vijana wadogo usitegemee uchovu kuiathiri timu kiasi kikubwa.
Wenye kufahamu mpira watajuwa nachosema.
Uzima ukiwepo, tuendelee kukutana hapa sports forum.
1) wachezaji wa gharama kubwa ( bajeti kubwa)Top class kuliko Simba Kwa kigezo gani?
Hilo swala huwezi kuwaambia Yanga wakakuelewa.Kama hujui boli hujui tuu hamna cha mganga.
Vunja nazi zote lakini bottom line timu uwe nayo kwanza
Sijui kocha huwa anawaza niniKuwa na wachezaji kama kibu na mutale kunahitaji moyo
Jamaa nilijua umemuelewa kumbe hukumuelewa. Alichoandika ni kuwa hakuna mpira wa uchawi, kama unajua unajua na kama hujui hujui tu. Uchawi hauleti mafanikio kwenye mpira. Hivyo kinachofanyika na Yanga sio kutokana na uchawi bali ni uwezo na ubora wao. Kama unalikataa hilo basi njoo utoe uthibitisho wa timu zilizowahi kufanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa kutokana na kuwa vizuri kwenye uchawi.Hilo swala huwezi kuwaambia Yanga wakakuelewa.
Siku ya Derby wao wana mlango wao wanaoujua.
Wako radhi kulipa faini lakini huo mlango wautumie.
Na naskia TFF baada ha kuona hivyo wakaongeza bei kwenye faini lakini kwa jinsi inavyoonekana ni kama Yanga wamejiandaa kuikabili hiyo gharama.
Usimfananishe Gamond na mambo ya kipuuzi.Gamondi huko aliko kiwewe. Itabidi aanze kuhudhuria mechi zetu kama mwaka juzi ajifunza mpira .
Gharama ya mchezaji haifanyi timu iwe top class.1) wachezaji wa gharama kubwa ( bajeti kubwa)
2) kwenye rank wapo juu ya Simba
3) kuwa bora na kiwango kikubwa kuliko Simba.
Hivyo ndio vigezo, njoo upinge hivyo vigezo kwa uthibitisho
Kama la ken gold jana? Tusema ken gold 1 - utopolo 1Kazi yao ya kuibeba Simba wameifanya vizuri.
Sisi uto hatuwataki watuchezeshe!!
Kocha wa Azam kamaliza kazi kasema wazi magoli ya offside yamewanyonga!
Ungeanza kufukuza walimchezesha yanga na kengoldIla waamuzi wa leo Ingekua mimi ningewafukuz wote
Nikama hawajui kazi yao