Kama wamebeba na embe mbichi basi TAYARI πUtopolo wanaondoka kwenye bandaumiza huku wanaongea wenyewe na kutematema mate sijui shida ni nini
Hewa kabisa.Kocha Tausi alisema nimeshinda derby nyingi sanaππππ
Admins wanazingua kweliAdmin badili hapo juuu plz
Y. Diabby mmempa kiasi gan?Kocha Tausi alisema nimeshinda derby nyingi sanaππππ
Eti jamani...Bangala yupo vzrHewa kabisa.
Anaendeleaje kumng'ang'ania Yoro wakati Bangala yuko nje?
Shauri yako ntaku p.didyUkimaliza hiyo period yako ndio utanielewa....sawa dada
Mpaka tukutane hiyo itakuwa mada ya siku hiyo tupo kwenye mechi ya Azam na Simba sasa hiviyote yatapunguzwa mkikutana na mabingwa yanga
Mie tangu nimeona Ile mechi na Mabululu. Sina hofu tena.Chuma cha 3
Pdiddy ni gay...ila mi sichapi ma gayShauri yako ntaku p.didy
wengine hasira z jana kupata ushindi wa mungu saidia, ko lazima tumbo la kuh*r liume madamYani mi uto imejaa jazba...πππ
Haiamini macho yaoooo
mwanzoni hata usajili huwa mko vizuri, ila baadae mnaanza kumkataa mo na wafuasi wakeTuko on fire, mechi 3 magoli ya kufunga 9, ya kufungwa 0