Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ndio maana nikasema wasiruhusu kucheza vileSiku ile Azam walicheza chini ya kiwango kwa asilimia kubwa.
Leo wakitulia hata bao 3 wanashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nikasema wasiruhusu kucheza vileSiku ile Azam walicheza chini ya kiwango kwa asilimia kubwa.
Leo wakitulia hata bao 3 wanashinda
Umeanza lini kuuza ice-cream za ubuyu?Shabiki wa Azam Fc nipo hapa, ondoa shaka
Match hii itachezwa leo saa 1 jioni kwa saa za africa mashiriki au 1600 hrs GMT kati ya Azam Fc Vs Bahir Dar Kenema, katika kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya kwanza ya kombe la shirikisho barani Africa maarafu CAFCC,
Watanzania wote wanaiombea Azam ishinde na kuzidi kuipeperusha vyema bendera ya ligi kuu ya NBC,
Ikumbukwe kuwa Azam wapo nyuma kwa bao 2-1 , hivyo wanahitajika kushinda goal 1-0 ili kuweza kufuzu hatua inayofuata,
Kwa wale mliopo Dar Es Salaam, match hii ni bure kabisa, kikubwa uwe na jersey ya Azam Fc ya msimu wowote ule na uwe na mzuka sana wa kushangilia
Ungana nami hapa kwa ajiili ya update za mchezo huu muhimu kwa taifa letu na team yetu pendwa ya Azam FC
View attachment 2728209
Kikosi cha team bora Azam Fc kimeshatoka na hiki hapa
View attachment 2728432
Wenzio msimu uliopita wamecheza fainali wew ulikuwa wapi😁😁😁😁Azam, Uto na Singida BS wana wajibu wa kulinda heshima ya Mnyama Simba Sc. Tz ni nchi inayotoka timu #7 kwa ubora
PichaGoooal
Picha