FT: Azam FC 2-1 Dar kenema (Agg. 3-3) Pnt (3-4), CAFCC, Chamazi complex, 25.08.2023, Azam waaga mashindano

All the best Azam..... Mkishinda Tanzania imeshinda
 
Azam, Uto na Singida BS wana wajibu wa kulinda heshima ya Mnyama Simba Sc. Tz ni nchi inayotoka timu #7 kwa ubora
 
Najaribu kuwatafuta kupitia huu uzi, mashabiki wa Azam siwaoni hapa, uzi umejaa mashabiki wa Simba na Uto, why?
 
Kila la heri kwa Azam fc
 
Mapema tu Azam wanawapa watanzania wapenda soka furaha...
Azam 1 Dar 0
 
Gooooall
Azam 1-0 Bahir Kenema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…