THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Hata kocha naye amechokaHii mechi wananchi tumekaa na sababu kubwa wachezajinwa yanga wanauchovu wa mfululizo wa mechi
No excuse! Tunatakiwa kua na kasi sawasawa na ratiba inavyosema!Hii mechi wananchi tumekaa na sababu kubwa wachezajinwa yanga wanauchovu wa mfululizo wa mechi
Dah!...uchawi huuNa sijui kwanini wanamuonea aibu azizi ki tunataka ngalau wakipige kidole chake kidogo.cha mguu kivimbe
Mkuu hatuwezi kuwaombea Amani Yanga hata kidogo huwa wana mdomo sanaDah!...uchawi huu
Bado 10 tuDakika ya ngapi
Ngapi ngapi?79' Yao out ...mwamnyeto in
Okrah in
Sahihi kabisaDaah... ila ndio mchezo!
siku ngumu nazo hupita!
Mzee wa Bokoboko79' Yao out ...mwamnyeto in
Okrah in
Mkuu Amka Ule daku..Usingizi utapiltiliza..Goooool ni yule yule somba somba onana dk 89 azam 2 -2 yanga wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wawakilishi wa Cacl hawa....waombee memaMkuu hatuwezi kuwaombea Amani Yanga hata kidogo huwa wana mdomo sana