FT || Azam Fed Cup: Yanga S.C 7-0 Rhino Rangers: Uwanja Benjamin Mkapa

FT || Azam Fed Cup: Yanga S.C 7-0 Rhino Rangers: Uwanja Benjamin Mkapa

Ni Jumapili nyingine tena tunakutana katika mpambano wa kukata na shoka ambapo mabingwa watetezi wa Azam Federation Cup, Young Africans wanashuka uwanja[emoji2522] wa Benjamin Mkapa kuwakaribisha Rhino Rangers kutoka Tabora.

Ikumbubwe mechi hii ni ya mtoano kuelekea 16 Bora na mshindi lazima apatikane.

Je ni Yanga [emoji617] au Rhino[emoji1661] Rangers ndio wataibuka washindi baada ya dakika 90?

Muda wowote mpira utaanza hapa katika dimba[emoji2522] la mkapa


"""""""""'''''''''
00' Kipyenga kimepulizwa tayari kushiria kuanza kwa mtanange huu

02' Yanga [emoji617] wameanza kulisakama mapema sana lango la Rhino Rangers mashambulizi makali yanaokolewa na golikipa wa Rhino

07' Gooooal[emoji460] Dickson Ambundo anawatanguliza Wananchi mapema kabisa

16" Gooooal[emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anaweka kambani goli la pili kwa Yanga

19' Aziz Kiiiiiiiiii[emoji460][emoji460][emoji460] anaweka goli la 3 Kwa Yanga

23' Gooooal [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Farid Mussa anafunga goli la 4 Kwa Yanga

27' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni goli la 5 Kwa Wananchi[emoji617]. Mfungaji ni Yanick Bangala

45+2' Dakika mbili za nyongeza Yanga bado wanalisakama kama nyuki lango la Rhino Rangers
Naam mpira ni mapumziko Wananchi [emoji617] wanakwenda vyumbani wakiwa mbele Kwa magoli ma 5 kwa bila

Kipindi cha pili kimeanza

45' Goooal[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460] Kennedy Musonda anashindilia msumari wa 6 kwenye jeneza la Rhino Rangers

View attachment 2499440
Yaani Faru tu mmetoa mizinga yote. Utopolo hamtaniwi?
 
Back
Top Bottom