Labda huko baadae ligi ikichanganyaHope atabadilika
Ilibidi watoke na clean sheet leoLimeniuma sanaaa
Mshahara ni siasa?Acha kuleta siasa, watu wamepigwa,
Uwanja haujalogwa na Yanga leo?Mpira mwingi sana umepigwa chamazi Leo, sijui kama safari hii Azam ataukosa ubingwa wa Shirikisho, akina Dube, Chilambo, Diao, Zayd, Nado, Bangala wameupiga mwingi sana, soka la kisasa, soka lenye mipango inayoeleweka, aisee.
Kama ulikosa kuiangalia azam Leo basi umekosa raha duniani.
Jana tulicheza vizuri sanaaaMpira mwingi sana umepigwa chamazi Leo, sijui kama safari hii Azam ataukosa ubingwa wa Shirikisho, akina Dube, Chilambo, Diao, Zayd, Nado, Bangala wameupiga mwingi sana, soka la kisasa, soka lenye mipango inayoeleweka, aisee.
Kama ulikosa kuiangalia azam Leo basi umekosa raha duniani.