FT: Biashara 0 Simba 0

Inasikitisha sana hilo benchi la ufundi na bodi ya wakurugenzi msipochukua hatua za haraka huu msimu tuandike maumivu.
 
Daa@deki Bocco asipewe penalty hadi anaondoka Simba. Na nyie benchi la ufundi muwe mnabadilika msilipwe pesa tu hapo. Simple psychology ni kwamba mchezaji hata kama ni star kiasi gani kama game haijamkubali mguuni hawezi kufunga penalty hata Kidogo.
 
Hii ndo mechi ya kwanza umeshaanza kulalama.Mashabiki wakibongo tujifunze kua wavumilivu.zama zinabadilika.cha msingi ni kusapoti timu.
Acha ujuaji mkuu, mashabiki wa kibongo? Wewe upo ulaya??

Ile ya Yanga mlisema ni mechi ya kwanza haitoshi kufanya evaluation, hii nayo tumevurunda bado mnaiita ni mechi ya kwanza hivyo hatupaswi kulalamika, mmerogwa?

Hivi tangia mechi ya Tp Mazembe mpaka leo bado tu akili zenu hazijang'amua kuwa kuna tatizo kwenye hii club?

Wewe endelea kusupport kila kitu kuhusu team, ila sisi wengine team ikivurunda lazima tuseme, ndiomaana hata mlipowauza wale wachezaji kwa kismgizo cha biashara ya mpira tulizungumza kuhusu athari zake, ndo hizi zinaonekana leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…