Usipokuwa makini itakugonga asubuhi, mchana na usiku na utalala bila kupata chakula chochoteBora njaa ya asubuhi kuliko njaa ya usiku.
Pre season walikuwa busy wanachezea midoli huku wenzao wanafanya mazoeziHii ndio timu iliyokaa pre~season muda mrefu zaidi na kwa mujibu wa wachambuzi ndio timu yenye muunganiko bora zaidi.
~ timu ina midoli
~ timu imesajili vizuri.
~ timu ina magari kama yote.
Mwanangu timu ipo, usijali sana na timu kuzingua ni kawaida hata Yanga kesho anaweza akapigwa vilevileHaya ukweli ndio huo,msimu huu hatuna timu.
Tufanyaje sasa?
Kuna mechi ambazo chama na miquson hawakwepo na Simba ilikuwa inashinda ,tatizo lipo kiufundino chama ,no miquissone.. sasa nd tunaona mbinu halisi za didier gomes da rosa zikoje.. mechi 4 z ligi zinatosha kw uongoz w simba kufnya maamuz kam n koch sahihi w kumaliz nae ligi am wamfukuze.
Tuliza tumbo hilo chura wa jangwaniWoyoo yamekosaa
Next match ni dhidi ya Dodoma Jiji walioshinda leoKuna mechi ambazo chama na miquson hawakwepo na Simba ilikuwa inashinda ,tatizo lipo kiufundi
Hakuna jipya kwa Simba ni kama Gomez anabahatisha tu kwa sasa nothing new.Next match ni dhidi ya Dodoma Jiji walioshinda leo
Ni kweli sasa hivi hata timu za ligi kuu zote ziko vizuri ,mfano hao biashara wako vizuri ,Dodoma Jiji ,Azam ,Yanga ,KMC .Hii ndo mechi ya kwanza umeshaanza kulalama.Mashabiki wakibongo tujifunze kua wavumilivu.zama zinabadilika.cha msingi ni kusapoti timu.
Wachezaji waliokuwa wakipata nafasi walikuwa wanatumia nafasi hizo kuonesha kwamba wanaumhimu hivyo wapewe nafasiKuna mechi ambazo chama na miquson hawakwepo na Simba ilikuwa inashinda ,tatizo lipo kiufundi
Itakuwa mechi nzuri pia lolote laweza kutokeaNext match ni dhidi ya Dodoma Jiji walioshinda leo
Atashinda,wanajiamani sanaMwanangu timu ipo, usijali sana na timu kuzingua ni kawaida hata Yanga kesho anaweza akapigwa vilevile