Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Sadio Kannute, Dancan Nyoni na Ausmane Sakho, wanaenda kuyaziba mapengo ya Chama na Miquessone hivi karibuni.Naona pengo LA wachezaji wawili limeshindwa kuzibwa na watu kumi
Ao kanoute,sakho hawawez shughuli ya uku East Africa wangebak west uku ngoma ngumu lazm wachuje,chama alikuw chuma kwel kweli,ndio mana yanga wanaenda Congo kubeba wachezaji na sio west tunza manen yangu ,Sadio Kannute, Dancan Nyoni na Ausmane Sakho, wanaenda kuyaziba mapengo ya Chama na Miquessone hivi karibuni.
Peter Banda huyo hadi Msimu ujao chakula kikisha mkubali.
We ni mpumbavu hukutaka wachezaji wauzwe ?Acha ujuaji mkuu, mashabiki wa kibongo? Wewe upo ulaya??
Ile ya Yanga mlisema ni mechi ya kwanza haitoshi kufanya evaluation, hii nayo tumevurunda bado mnaiita ni mechi ya kwanza hivyo hatupaswi kulalamika, mmerogwa?
Hivi tangia mechi ya Tp Mazembe mpaka leo bado tu akili zenu hazijang'amua kuwa kuna tatizo kwenye hii club?
Wewe endelea kusupport kila kitu kuhusu team, ila sisi wengine team ikivurunda lazima tuseme, ndiomaana hata mlipowauza wale wachezaji kwa kismgizo cha biashara ya mpira tulizungumza kuhusu athari zake, ndo hizi zinaonekana leo.
Ukitoka kwenye hiyo ndoto yako utakuta Yanga kashakuwa Bingwa tayari.Sadio Kannute, Dancan Nyoni na Ausmane Sakho, wanaenda kuyaziba mapengo ya Chama na Miquessone hivi karibuni.
Peter Banda huyo hadi Msimu ujao chakula kikisha mkubali.
Hii inaweza kuwa Ramli.Ukitoka kwenye hiyo ndoto yako utakuta Yanga kashakuwa Bingwa tayari.
Nasikia kocha wetu wa simba ana vyeti vya VETA hii ni kweli au uzushi tu?Ukitoka kwenye hiyo ndoto yako utakuta Yanga kashakuwa Bingwa tayari.
Inategemea mkataba, Harry Kane alitaka kuondoka amekataliwa TottenhamWe ni mpumbavu hukutaka wachezaji wauzwe ?
Hivi unajua mchezaji akitaka kuondoka huwez kumzuia ?
Sasa ndo unafananisha na Tanzania? Mna mishahara ya kuwasustain wachezaji wazuri?Inategemea mkataba, Harry Kane alitaka kuondoka amekataliwa Tottenham
Usingeweza kunijibu bila kunitusi? Kwamba ukinitusi ndo Simba itakuwa vizuri msimu huu?We ni mpumbavu hukutaka wachezaji wauzwe ?
Hivi unajua mchezaji akitaka kuondoka huwez kumzuia ?
Harry Kane ndio kakataa kuondoka sio Tottenham imemkataza kuondoka!Inategemea mkataba, Harry Kane alitaka kuondoka amekataliwa Tottenham
Bocco sio mpigaji penati mzuri kwa mechi za kuamua matokeo, alipoteza penati fc rabat na Azam, Simba na Mazembe robo fainali , Simba na Ruvu tena tulifungwa 2 kwa 1 na mechi ya leo. Aache kulazimisha ufungaji bora kupitia penati na pia timu iwatambue wapigaji penati kwa kifupi kiherehere chake kimetukosesha ushindi.Na si mara ya kwanza bocco kukosea penati ,huwa anapaisha au anapiga haina nguvu ,aisee alipochukua mpira niliondoka maana nilijia atakosa tu halafu na ile presha ya kupata penat
Pale alipochukua mpira wengine walimheshimu kama capten .Ila mi leo nimekuwa wasiwasi baada ya mechi ya hawa wenzetu ,pamoja na mpira kwenye carpet lakini wachovu tu walikoswa kosa na kagera wakanyimwa penati ,tutaona uhalisi wao mechi yao na coastal kwenye vumbiBocco sio mpigaji penati mzuri kwa mechi za kuamua matokeo, alipoteza penati fc rabat na Azam, Simba na Mazembe robo fainali , Simba na Ruvu tena tulifungwa 2 kwa 1 na mechi ya leo. Aache kulazimisha ufungaji bora kupitia penati na pia timu iwatambue wapigaji penati kwa kifupi kiherehere chake kimetukosesha ushindi.