AsanteHongereni simba kwa matokeo mliyoyapata
IlaNilidhania Yanga wamewaotea tu
Hii ndo mechi ya kwanza umeshaanza kulalama.Mashabiki wakibongo tujifunze kua wavumilivu.zama zinabadilika.cha msingi ni kusapoti timu.Hii Simba Sc ikitoboa msimu huu, utakuwa ni mwisho wa dunia.
Hivi kwanini watu tusikubali kwamba msimu huu hatuna team? Team imekuwa ya kipumbavu sana.
Niiteni utopolo,nitukaneni ila ukweli ndo huo.
Penati ilikuwa halali kabisa, yule beki ni mpumbavu kaniuzi sana unachezaji faulo kijinga vile wakati anaweza kuuwinPenati janja janja.
akitaka kumaliza hata kiwanda chote sawa tu, sio kwa raha hizi alizoiletea nchi.Anywe ngapi
Points zinakuwa 3 either way.
Tunafanyaje Sasa
Bocco katulaza na njaa asee.ni kweli