LolBado hatujashinda ila sasa ............
Mbona mapema sana kazi ipo leoHuyu Mpanzu ilifaa aitwe Panzi tu.
209Chanel ipi inaonyesha kwa Dstv??
Uto kazi mnayo usikuMakolo wameanza Kwa wenge ngoja wakichoka tuu lazima wapigwe matobo,wamekoswa koswa
Bado mapem kulaumiana subiria mpira uishe nyny makolo 🤣Haya yote kayataka Che Malone
WamevurugwaKinachofanya beki ya Simba iwe inazubaa ni nini. Maana uwanja hauna hata mashabiki
Hawa watatumia mpaka scientific calculatorCalculator inahamia Msimbazi. Kweli nimeamini usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
Kazi kweli kweli....HT‘ FC Bravos 1-0 Simba SC
Refa tubebe.Daaaaah makosa kama haya yanatugharimu sana
😂😂😂🍾 🥂 Champagne anyone? 🤭🤭🤭🤭🤭🤭 Cheers 😁