FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

Sasa nalala kwa raha mstarehe...
Achana na sijui usitukane mamba, kabla hujavuka mto...
Tutavuka bahari....
Raja πŸ™‹β€β™€οΈ
Siye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfu
 
Siye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfu
Kwani mechi za Ligi ya Mabingwa zitaendelea kesho? Mimi ratiba hapa naona zinaisha leo Jumamosi
 
Wanauheshimu tu huo mwezi ila hakuna wafungaji kule, waspanish wale dini kwao ni utamaduni tu wala si ibada.
Walipoingia nusu fainali ya kombo la dunia yule Captain wao wa timu ya taifa asingetoa dedication kwa Waarabu wote na "WAISLAMU" wote kama dini sio kitu wanachokithamini, wakawasahau mpaka Waafrika wenzao.
 
Siye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfu
Mnacheza na nani, kwenye mashindano gani hilo soka safi [emoji23]
 
Tulifungwa sita 0 Kwa show moja
Nyie ghettoni kwenu moja na lodge ughaibuni moja
Jumla yake sita
Bora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6

Ila hebu tazama rekodi yenu ya mwaka 1998 ambapo mliburuza mkia katika kundi B

Kwenye mechi mbili Raja walimaliza vipaketi 3 vya condom
 
TANZANIA IMEFURAHI KWA MATOKEO HAYA
 
Hivi kumbe palikuwepo na game?
🫣🫣🫣🫣utopolo mkakesha mkisubiri wiki eti 7-0[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Naona mwarabu alirudishwa mchezoni kwa penalti[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Huyu tulimsajiri kwa ajili ya mechi zetu na Prisons.
 
Bora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6

Ila hebu tazama rekodi yenu ya mwaka 1998 ambapo mliburuza mkia katika kundi B

Kwenye mechi mbili Raja walimaliza vipaketi 3 vya condom
View attachment 2572621
Hiyo ya ugenini ilikuwa hujuma,kumbe tulitoa drop nao hapa nyumbani duh,kwanini nyie mlipigww nje ndani!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…