Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Nyie mlifungwa ngap na raja? Au unajisahulisha ehMkuu Kuna zile tatu za hapa ghettoni na za Leo kule lodge jumla yake sita huko tatu na kule tatu jumla yake sita
6-1
Sasa si ugawe kitumbua tenaaRaja wanauliza simba Who?
Tulifungwa sita 0 Kwa show mojaNyie mlifungwa ngap na raja? Au unajisahulisha eh
Siye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfuSasa nalala kwa raha mstarehe...
Achana na sijui usitukane mamba, kabla hujavuka mto...
Tutavuka bahari....
Raja πββοΈ
Itakuwa wamepenyeza rupiaNaiagiza TAKUKURU ifuatilie miamala ya Onyango kwa wiki mbili zilizopita na wiki mbili zijazo. Hawa waarabu hawaaminiki.
Mkapa alikuwepo ile mechi?? I doubt, sikumbuki vizuri. Kama alicheza basi tayari alishakuwa mtu mzima.
Kwani mechi za Ligi ya Mabingwa zitaendelea kesho? Mimi ratiba hapa naona zinaisha leo JumamosiSiye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfu
Walipoingia nusu fainali ya kombo la dunia yule Captain wao wa timu ya taifa asingetoa dedication kwa Waarabu wote na "WAISLAMU" wote kama dini sio kitu wanachokithamini, wakawasahau mpaka Waafrika wenzao.Wanauheshimu tu huo mwezi ila hakuna wafungaji kule, waspanish wale dini kwao ni utamaduni tu wala si ibada.
Mnacheza na nani, kwenye mashindano gani hilo soka safi [emoji23]Siye kesho tunamnywa mtu 3-1 Ili tuwaonyeshe watano zetu jinsi ya kutandaza soka safi siyo kama magoli ya Enonga ya kungfu
Bora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6Tulifungwa sita 0 Kwa show moja
Nyie ghettoni kwenu moja na lodge ughaibuni moja
Jumla yake sita
3-1 Ahmed Ally kasema nmeenda kukamilisha ratiba mrudi mmefungwa Ila mmepita hata mkifungwa haina madhara Ila mmefungwaBora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6
Ila hebu tazama rekodi yenu ya mwaka 1998 ambapo mliburuza mkia katika kundi B
View attachment 2572621
Tumefurahiakuna mechi hapo ni mazoezi tu.
TANZANIA IMEFURAHI KWA MATOKEO HAYAKuna watu wamedandia mtumbwi wa vibwengo[emoji84][emoji84][emoji83][emoji83][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
uchambuzi utafata baadae
Stay tuned,...................
==========
Kikosi cha Simba
Kikosi ch Raja Casablanca
Mchezo umeanza
2β Mashabiki wa Raja wameanza kuonesha presha kwa kushangilia kwa nguvu
4β Wenyeji wakigusa mpira wanakuwa nakasi kubwa
6β Raja wanapata kona ya kwanza, inapigwa inaokolewa
10β Timu zote hazina utulivu, wenyeji wakionekana kutsks goli la mapema
16β Raja almanusura wapate goli, mpira unagonga nguzo na kutoka nje
17β Shambulizi lingine kali langoni kwa Simba, mpira unatoka nje
22β Simba wanacheza pasi kuanzia nyuma, shuti la Saido linapaa
24β Mzamiru anapiga shuti linatoka nje la lango
27β Timu zinapeana zamu kumiliki mpira
29β Shuti la Gadiel linaoaa juu ya lango la Raja
33' Baleke anaweka mpira wavuni lakini mwamuzi anasema alicheza faulo
36' Chama wa Simba anapata kadi ya njano
43' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Khabba anafunga goli baada ya Onyango kuchanganyana na Manula wakati wa kuokoa
45' Walinzi wa Simba wamecheza vizuri lakini wameanza kufanya makosa kadhaa
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
46' Wenyeji wameanza kwa kasi ya chini
48β GOOOOOOOOOOOO
Baleke anafunga bao na kuisawazishia Simba
55' Simba wanapiga pasi kadhaa na kuonesha kujiaminia
57' Manula yuoo chini baada ya kuumia, anapatiwa matibabu
62' Kibu Denis anachezewa faulo karibu na eneo la 18 la Raja
69' Onyango anacheza faulo, inakuwa penati kwa Raja
Goooooooooo Hamza Khabba anafunga goli ka pili kwa penalti
71' Shangwe linaendelea kwa mashabiki wa Raja
goooooo
Mohamed Boulacsout anafunga goli la tatu kwa Raja
89' Kapombe kaumia, ametoka nafasi imechukuliwa na Israel
89' Saido katoka kaingia John Bocco
90' Zimeongezwa dakika 4
FULL TIME
Huyu tulimsajiri kwa ajili ya mechi zetu na Prisons.Huyo jamaa amegeuka kuwa muua moves nyingi kwa Simba Sc sikuhizi, kwanza hawezi kutoa pasi mpaka abanwe kabisa lakini pia yeye anawaza kufunga tu hata kama nafasi haimpi ruhusa.
Kinachomharibu zaidi ni ile hali ya kutaka aimbwe na mashabiki, badala yake nyimbo zimeendelea kumfuata Chama huku yeye akibaku kuamini kuwa ni bora zaidi, matokeo yake ni kupanick mchezoni kila siku.
Hakuna aliyemroga.
Una leta story za 19th century apa...kupigwa mme pigwa waarabu hawana show mbovuBora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6
Ila hebu tazama rekodi yenu ya mwaka 1998 ambapo mliburuza mkia katika kundi B
Kwenye mechi mbili Raja walimaliza vipaketi 3 vya condom
View attachment 2572621
Hiyo ya ugenini ilikuwa hujuma,kumbe tulitoa drop nao hapa nyumbani duh,kwanini nyie mlipigww nje ndani!!?Bora simba kafungwa nyumbani goli 3 na ugenini 3...jumla goli 6
Ila hebu tazama rekodi yenu ya mwaka 1998 ambapo mliburuza mkia katika kundi B
Kwenye mechi mbili Raja walimaliza vipaketi 3 vya condom
View attachment 2572621
Kenneth Mkapa kwangu ni beki tatu bora kabisa kwa Tanzania kwangu niliyemshuhudia.