FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwao tumewachoma 1.
Hatujatoka kinyongeee. Hallah [emoji881][emoji881][emoji881]
[emoji3590][emoji833]
 
MAKOLO HAYAJAFUNGWA BANA!TAREHE MOJA APRIL NI SIKU KUU YA WAJINGA!MSIWADANGANYE MAKOLO!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukilinganisha na zile goli 6 kwa kweli sio nyingi. Inategemea unalinganisha na nini.

Ukilinganisha goli 3 kwa 1 alopigwa Simba na Raja au 6 kwa 0 alopigwa Yanga na Raja au Yanga alopigwa na Simba utagundua nyingi ni zipi
Home goli 0-3
Away 3-1
Total 6-1
 
Home goli 0-3
Away 3-1
Total 6-1
Mushkel hawayavunja rekodi ya mechi moja ya Utopolo. UTOPOLO alipigwa 6 mtungi mechi moja ambayo mpaka sasa ni rekodi ya timu za Tanzania ya kufungwa goli nyingi kwenye mechi moja.
 
Mushkel hawayavunja rekodi ya mechi moja ya Utopolo. UTOPOLO alipigwa 6 mtungi mechi moja ambayo mpaka sasa ni rekodi ya timu za Tanzania ya kufungwa goli nyingi kwenye mechi moja.
3 nje +3 ndani =6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…