FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

๐€๐ณ๐š๐ฆ ๐“๐ฏ ๐Œ๐š๐ฑ (๐ณ๐›๐œ 2)๐›๐š๐๐จ ๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ฅ๐ข๐ฅ๐ž๐ฅ๐ข๐ฅ๐ž ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ณ๐š ๐›๐ข๐  ๐ฆ๐š๐ญ๐œ๐ก

๐“๐ก๐ข๐ฌ ๐œ๐จ๐ง๐ญ๐ž๐ง๐ญ ๐ข๐ฌ ๐ซ๐ž๐ฌ๐ญ๐ซ๐ข๐œ๐ญ๐ž๐ ๐ข๐ง ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐š๐ซ๐ž๐š... ๐–๐“๐…! [emoji35]
 
Yani ni vichekesho kwa kweli
 
Da kweli hawa jamaa sijui wanataka nini? Wao wanajisifia tu. Utendaji 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ligi ya SA na ya EGYPT ipi ligi bora?
Haohao Marumo ndo wamemtoa Pyramid unasemaje hapo!? Kwenye michuano ya kimataifa inapofika stage ya mtoano huwa mbinu zinabadilika so mwenye mbinu bora zaidi ya mwenzie ndo hupata matokeo na wala si kipimo sahihi cha ubora wa ligi watokazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ