FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

𝐀𝐳𝐚𝐦 𝐓𝐯 𝐌𝐚𝐱 (𝐳𝐛𝐜 2)𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐢𝐥𝐞𝐥𝐢𝐥𝐞 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐳𝐚 𝐛𝐢𝐠 𝐦𝐚𝐭𝐜𝐡

𝐓𝐡𝐢𝐬 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐢𝐬 𝐫𝐞𝐬𝐭𝐫𝐢𝐜𝐭𝐞𝐝 𝐢𝐧 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐚𝐫𝐞𝐚... 𝐖𝐓𝐅! [emoji35]
 
Hii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).

Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.

Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?

Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Yani ni vichekesho kwa kweli
 
𝐀𝐳𝐚𝐦 𝐓𝐯 𝐌𝐚𝐱 (𝐳𝐛𝐜 2)𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐢𝐥𝐞𝐥𝐢𝐥𝐞 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐳𝐚 𝐛𝐢𝐠 𝐦𝐚𝐭𝐜𝐡

𝐓𝐡𝐢𝐬 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐢𝐬 𝐫𝐞𝐬𝐭𝐫𝐢𝐜𝐭𝐞𝐝 𝐢𝐧 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐚𝐫𝐞𝐚... 𝐖𝐓𝐅! [emoji35]
Da kweli hawa jamaa sijui wanataka nini? Wao wanajisifia tu. Utendaji 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).

Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.

Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?

Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Kwani ligi ya SA na ya EGYPT ipi ligi bora?
Haohao Marumo ndo wamemtoa Pyramid unasemaje hapo!? Kwenye michuano ya kimataifa inapofika stage ya mtoano huwa mbinu zinabadilika so mwenye mbinu bora zaidi ya mwenzie ndo hupata matokeo na wala si kipimo sahihi cha ubora wa ligi watokazo.
 
Back
Top Bottom