Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Tuendelee kuwaombea wananchi🙏!Daah! Game ngumu.
Tusubiri second half nayo tuone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kuwaombea wananchi🙏!Daah! Game ngumu.
Tusubiri second half nayo tuone.
Hakika rafiki. 🙏Tuendelee kuwaombea wananchi🙏!
Yule ni fala tu.Kuna Mchambuzi Alisikika Akisema Gallants Ni Kama KMC au Ruvu Shooting Tuu…
Tangu amerudi kitoka Berkane, hana kabisa ile spidi yake tuliyo izoea.Kisinda akauze mapapai tu.
Tulia dawa ikuingie taratibu
Yani ni vichekesho kwa kweliHii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).
Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.
Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?
Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Hakuna cha bingwa mtarajiwa hapa, njia waliyopita ndiyo iliyowapa hayo matumaini, sasa hii ni team ya kuiziua team nzuri kuingia fainali? Ila kuonyesha ni jinsi gani wao ni weupe, itawatoa.Bingwa mtarajiwa anatolewa jasho na Timu inayopigania isishuke daraja
Da kweli hawa jamaa sijui wanataka nini? Wao wanajisifia tu. Utendaji 0𝐀𝐳𝐚𝐦 𝐓𝐯 𝐌𝐚𝐱 (𝐳𝐛𝐜 2)𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐢𝐥𝐞𝐥𝐢𝐥𝐞 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐳𝐚 𝐛𝐢𝐠 𝐦𝐚𝐭𝐜𝐡
𝐓𝐡𝐢𝐬 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐢𝐬 𝐫𝐞𝐬𝐭𝐫𝐢𝐜𝐭𝐞𝐝 𝐢𝐧 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐚𝐫𝐞𝐚... 𝐖𝐓𝐅! [emoji35]
Unayo hiyo sura sasa? 😂😂😂
Tafuteni magoli converterNafasi nyingi zinapatikana ila kuzi-convert kuwa goli ndio mtihani ambao bado Yanga hawajafaulu
Yule aliefungwa na azam juzi?Marumo angekuwa kashakula mbili kipindi cha kwanza kama angekuwa anacheza na Simba
Acha kuuliza maswali ya kitotoKwanini wewe haumo
Kwani ligi ya SA na ya EGYPT ipi ligi bora?Hii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).
Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.
Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?
Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.