Uwezo mdogo tuTumerogwaa sio bure[emoji38][emoji38]
Sasa hicho kiherehere cha kuiita underdog mlikuwa mnakitoa wapi?Imemtoa pyramid ya misri,inayoshika namba 3 ligi ya misri
Nyuma mwiko🤣🤣🤣Naona akili zote tumehamishia kwenye kushambulia nyuma tunakusahau. 🙃
Itatugharimu hii.
Usihofu mkuu, nyuma mwiko upoNaona akili zote tumehamishia kwenye kushambulia nyuma tunakusahau. [emoji854]
Itatugharimu hii.
Kwahiyo tunakubaliama Marumo sio underdogs kama mlivyokuwa mkiwaita na kwamba hamna uwezo wa kuwapiga nyingi kama jinsi mlivyokuwa mnatueleza hapa?Hujiulizi imefikaje nusu!! We mara ya mwisho kufika nusu unakumbuka au mpaka uvute gazeti?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app