FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Kipindi cha pili Yanga watabadilika hamtaamini hawa jamaa inawezekana kweli huwa kuna kitu wanfanya wakiingia vyumbani nimeafatilia mechi nyingi zao wanenda bila bila half time wakirudi wanabadilika sana sio bure hapa [emoji16][emoji16][emoji16]

Tunaona mabadiliko
 
Akina mzee mpili wanabana pumbu tu muda huu
 
Tumechezea nafasi kipindi cha kwanza, Marumo kwa sasa wanatushambulia mno
 
Mwalimu wa kutuliza pressure kwa hawa gallants yuko vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…