Yani hao ukikutana nao umevaa jezi hata ya man united ilimaradi nyekundu wanakuharibia sikuKwani Masaki uliko huwa kunachangamka hata siku moja? Njoo huku Mbagala uone mitaa ilivyojaa raha na matarumbeta ๐คธ๐ฟ๐คธ๐ฟ
Halooooooooooooooooo๐ช๐ช!Turingie nini sasa wakati tunapendwa Mpaka na Mungu? Halooo!
Tuamke kwenda wapi?Yanga oyeeee
Wanayanga kesho tunaamka saa ngapi?
Hamna lolote mmeotea na kuloga sanaaaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐!!
Lazima mkaeeee wenye nchi yao tushafanyaa yeityuuuu auweeeeehhh๐๐๐๐บ๐บ๐บ๐บ๐บ!!
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช๐ช
Sawa na wewe uache maana tunawanga wote umri umeshaenda tutubu.
Kama Bob Junior siku anauliwa na Wydad ๐๐๐Wandungu mme wezaje sisi tume jaribu miaka yote hatufiki ...ali sikika kiongozi wa makolo fcView attachment 2616924
๐๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ ๐ฆ๐๐๐ฅ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐Ni suala la muda tu, mtakuja kumpa credit babu Nabi hapa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
๐๐๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ค๐ข๐๐ฆ๐๐ข๐ฐ๐ ๐ฎ๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ง๐๐๐ฅ๐๐ฐ๐..๐๐ข๐ข ๐๐๐ฆ๐ ๐ข๐ง๐๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฎ๐๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐๐ข ๐๐ก๐ ๐ฉ๐ข๐ฅ๐ข...
๐๐๐ง๐ ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐[emoji736]
We mwanamke una roho ngumu sana![emoji56][emoji56]Yani hata mbebe kombe hamuwezi kufikia level za simba [emoji2088] [emoji2088] [emoji2088] [emoji2088] [emoji2088] [emoji2088]
Pole sana Mtani.Sawa na wewe uache maana tunawanga wote umri umeshaenda tutubu.
Hahahaaa. Lol.Makolo njoeni hapa nmeona mpira wa wanaume [emoji23]
Kuhama sihami besty hata nyumba inibomokee nizikwe humo โค๏ธ โค๏ธ ๐ค ๐ค ๐คMtani Kalpana hata kwa hatua hii tupongeze tu, hakuna namna Yanga haikamatiki, haishikiki...
Karibu Yanga huku kwetu raha tu ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐คธโโ๏ธ๐๐๐๐๐๐๐
Zaidi ya yale mamiguu marefu kama ya senene hakuna kitu mule.Uyu mzize hatuna mbadala wake sija wahi kumkubali kabsa uyu boya
Makolo wana roho mbaya sana!Hali ya wanathimbaa right now!!
Kufungwa wafungwe malumo, maumivu wapate wanathimbaa
View attachment 2616901