Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Jamaa wanakuja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ma zombieJamaa wanakuja tu.
Mmebadilika tena?Hawa hata ingekuwa Simba wangewasumbua wazuri sana.
ni grants au gallants🤣🤣🤣Sogea haraka upate burudani la bondeni kwa madiba
Bado unataka Kisinda na Aziz Ki wapumzishwe??Profesa Nabi asipofanya mabadiliko ya haraka, tunafungwa. Aziz Kii, Moloko, na Tuisila Kisinda wanatakiwa kupumzishwa haraka iwezekanavyo.
Wachezaji wazuri wapo nje! Shida iko wapi!!!
Vice versa Yanga 1- 0 MarumoUpdate ya utabiri: Yanga 0-1 Marumo
Kisha bondeni itakua msiba kamili.
Kamoyooo tuliaaa sasaa[emoji23][emoji23]Ooooyoooooo