Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Umeelewa mtani hapo nawaangalia Vipers na Vizembe wa MazembeVipi mtani? Mbona unaongea maneno hayaeleweki, kama vile unanena kwa lugha? Au ndio kuvurugwa na matokeo ya wananchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa mtani hapo nawaangalia Vipers na Vizembe wa MazembeVipi mtani? Mbona unaongea maneno hayaeleweki, kama vile unanena kwa lugha? Au ndio kuvurugwa na matokeo ya wananchi?
Hivi ww ni Yang'a???Mazembe kapigwa nje ndani wamuita kibonde, Simba kapigwa nje ndani na Raja nae kibondee au sio 😊😊
Kafunga nani kwani maana hata naona uvivu kuperuzi huko juuKwanza goli lenyewe baya
Mie simbaa 🦁🦁🦁 ila Yanga msimu wao huu, wapo vizuri banaaHivi ww ni Yang'a???
Rafiki yangu mbona huwa husemi??
A
Ana raha kuwa yanga hadi anasahau kutangaza.Hivi ww ni Yang'a???
Rafiki yangu mbona huwa husemi??
A
Sikubali hata kidogo....Mie simbaa 🦁🦁🦁 ila Yanga msimu wao huu, wapo vizuri banaa
HahahhahahAna raha kuwa yanga hadi anasahau kutangaza.
Duh! Potezea hii hoja, haina mashiko. Najua unalijua hilo ila basi tu unaendeleza jadi yenu. Mnatumia aggregate mahali ambapo haina mashiko na katika utetezi wenu mnajifunga wenyewe lakini bado tu unakomaa.Wakati wenzako walikua wanaenda shule asubuhi wewe unasema kuna baridi mateso yake ndio hayaView attachment 2574327
Hayaa !Ana maanisha,kupigwa nje,ndani sio mchezo,sio tu akina Tp kunguru wa Lubumbashi,ila hata waarabu anuai,iwapo hata akina Raja mnao waogopawatajichanganya/jileta kwa wananchi watakaa mapeeema Asubuhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo habari za kuongoza kundi wamezikaushia wanadhani hatuwaoni vile 🤣😂🤣Mpaka kufikia saa 7 usiku hawa mbuzi watakua nafasi ya pili, na kelele kwa kiasi chake zitapungua mitaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo habari za kuongoza kundi wamezikaushia wanadhani hatuwaoni vile [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Ila wiki hii wameteseka sana. Juzi wamekesha wakiangalia mechi ya kirafiki ya Simba, leo tena pamoja na kwamba wameshavuka watakesha tena wakiwaombea mabaya Monastir pamoja na kwamba wale Waarabu waliwaweba kwenye game 2. Hawana hata shukrani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Yanga kabebwaje na Monastir? Hebu fafanua kidogo maana kama hujaeleweka vileIla wiki hii wameteseka sana. Juzi wamekesha wakiangalia mechi ya kirafiki ya Simba, leo tena pamoja na kwamba wameshavuka watakesha tena wakiwaombea mabaya Monastir pamoja na kwamba wale Waarabu waliwaweba kwenye game 2. Hawana hata shukrani.
Bado tuu hujawakumbusha Mods ile ban kama Yanga angeshinda leo.Mpaka kufikia saa 7 usiku hawa mbuzi watakua nafasi ya pili, na kelele kwa kiasi chake zitapungua mitaani
Kwani uongo sasa,haya tunaongoza kundi iwaume mjinyonge.Hizo habari za kuongoza kundi wamezikaushia wanadhani hatuwaoni vile [emoji1787][emoji23][emoji1787]