joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Vyanzo vyangu enjoy Mwakarobo huku ukiminya Korodani.Hukuelewa hoja yangu, hilo sio swala ambalo unaweza kunifundisha mimi.
Nimekuuliza ni chanzo kipi kimekupata taarifa kuwa nchi zote hizo zinataka nyinyi mshinde, au ni hisia zako ?
Ni swala la mda tu huenda hako ndio kakawa ka goal keni kwa siku ya leoHahahaaa!! Lol.
Yanga inapambana na waarabu wa aina mbili hawa wa Algeria na hawa Waarabu weusi (koko) wa kukodisha....πππ
Msishangilie sana, msije kukauka sauti kisha kombe mkose.
[emoji23][emoji23]
Haitasaidia....waarabu washaanza kudeka
Ni swala la mda tu huenda hako ndio kakawa ka goal keni kwa siku ya leo
Na ni vyema waje sasa hivi.Ni muda wa utopolo kumiminika sasa[emoji23][emoji23]
20
Mpaka sasa mko nyuma kwa goal moja leo hamna chenu kabsaDuuh mmeshabadilisha kauli? Imekuwa swala la muda tena? π π π
Kwa kweli Mtani japo wale waarabu Koko wengi wanapita kwenye uzi kimya kimya kama wanaaga maiti saa hii. π€£π€£π€£Yanga inapambana na waarabu wa aina mbili hawa wa Algeria na hawa Waarabu weusi (koko) wa kukodisha....πππ
π€£π€£π€£Duuh mmeshabadilisha kauli? Imekuwa swala la muda tena? π π π
Halafu nisikie umekimbia uzi wenuπͺπͺπͺπͺπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έ
Shituka utoke kwenye hiyo ndoto usije ukajinyeaMimi nilishasema game la leo ni 2 - 0 yanga analeta kombe jangwani tunanywea gambe kesho jpili.