ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Watoto wa kambo hua hamna jemaMpuuzi sana huyu utafikiri likichukua kombe linaenda nchini kwake kumbe ni nchi za wengine.
Sisi wenye nchi tumetulia tunataka USM ALGER washinde lenyewe kimbelembele tu kudakadaka hovyo.
Jinga sana lile
Utakufa kabla ya siku zakoMpuuzi sana huyu utafikiri likichukua kombe linaenda nchini kwake kumbe ni nchi za wengine.
Sisi wenye nchi tumetulia tunataka USM ALGER washinde lenyewe kimbelembele tu kudakadaka hovyo.
Jinga sana lile
Aminaaaaaaaaaaaahhh💪💚💚💚💛😢😢😢. 😆😆😆 Tuombe Mungu tutoboe tu aseeee,
Ww ngoja naaminia yanga
Unateseka kuminya poumbou zitavimba.Yanga sio timu ya babaake achie goli huyo mbwa
Huyu mwamba wakiendelea kumuacha basi kipindi cha pili tujiandae tu kwa maumivu. Maana upande wake leo ndiyo umegeuka kuwa uchochoro wa hao jamaa.Lomalisa atatucost naiona red hapa , Mungu atusaidie
Mie nawapa tahadhari tu, haina haja ya kushangilia mpaka makoo yawaume kisha mkose kombe.mmmh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisha onywa mara nyingi na refa na hapo ana kadi moja ya njano, bora aingie Kibwana.Acheze nani?
Itageuka iwe MABIBIII MABIBIINi swala la muda tu مسنيطننطنينيننHABIB HABIB
Niko na wifi ako hapa anataseka yeye unataka uje umsaidie?
[emoji23][emoji23]Nyuma MWIKO
Umeona mpango wa mwalimu ulivyofanya kazi... umempunguzia kazi mudathir na sureboy... na waneweza kurudi kwa haraka... kitu ambacho pia warabu leo watapata tabu ni kucheza na mayele wakijua ni mtu hatari... lakini leo mayele hana cha kupoteza zaidi ya kutenga mpira wenzake wascore yeye kashamaliza mahesabu yake... amebakia kuisaidia timu itoke na ushindi tu.Mwalim kazingua sana hakuna haja ya kuzuia leo kwa sababu hakuna cha kupoteza
Una maanisha nini kusema uchochoro huoni kazi anayo ifanya?Huyu mwamba wakiendelea kumuacha basi kipindi cha pili tujiandae tu kwa maumivu. Maana upande wake leo ndiyo umegeuka kuwa uchochoro wa hao jamaa.
Nyie waraabu kokoIle penati imetutoa mchezoni sana ila basi tu
Mamaeee, hapatakalika[emoji23]Uto akishinda hiki kikombe tutafute pa kujificha dadeki
Tulia[emoji23]Waarabu kwa figisu figisu wanaongoza daah