Hivi kuna kiumbe anaandika... Kumbe?Basi kama imeandikwa achukue Yanga basi muache achukue
YeahUSM Alger tusiwe na haraka mpaka tutapata goli tu mchezo uishe
Hatimaye umejiandaa kwa lolote....ππBasi kama imeandikwa achukue Yanga basi muache achukue
Subiri goli la Pili tufunge HESABU πDuh! we jamaaa
Hatamsahau Kibu DenisHuyu kipa wa Yanga ni π₯
Yuko vizuriYanga golikipa hatukutapeliwa