FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Kuna mzungu ananiambia hawa waarabu ni watu wapumbavu sana. Anaona kinachofanyika na mashabiki ni upumbavu wa kiwango cha juu.
 
Wachezaj hawana nguvu za miguu...hawawezi kuhamisha uwanja
 
Dk inabidi ziongezwe nyingi kufidia mimoshi.
 
89'
USMA 0-1 YNG

Morrison anapata kadi ya njano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…