Hakuna, mwarabu atachukua kombe kwa faida ya goli la ugenini.Hakuna matuta?
Kazi kaziniWalijua huu mchezo wa pilo utakuwa mwepesi sana kwao. Mambo yamekuwa tofauti kabisa.
Huku Tz tunazuiwa na jeshi la polisi, nchi ya kipumbavu sana hii. Huwa tunakuwa kama mang'ombe[emoji23][emoji23]Naona waarabu wameona watumie janja ya nyani kwenye hizi dakika za mwisho kwa kuchoma mafataki na kujiangusha angusha hovyo!
Halafu utashangaa hata adhabu hawapewi!!
Tunawauwa hawa 😝😝😝Walijua huu mchezo wa pilo utakuwa mwepesi sana kwao. Mambo yamekuwa tofauti kabisa.
Sawa subiri hayo matuta.Ndio Ni matuta
hamnaHakuna matuta?
Awabariki na nyie makolo mpate japo katrophy ka ukoloMungu ibarili USMA
Game over mkuu. Ondoa shakaZimebaki sekunde
Imeisha hyoooUSM ALGER nipeni rahaaaaaaaaaa