Unaongoza kundi kimazabe ? Punguza uchungu ujitenge na sononaUsiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
Jana nilitamani niingie mwenyewe uwanjani nikafunge 😀😀Kelele ilizimwa toka jana
Nina raha zote, niko nashushia kinywaji. Jumapili yangu murua.Ya kweli hayo au bado upo na makasiriko ya Uto kuishia makundi?
Hakika zimekuwa goli mbliiiKila la Kheri Lunyasi
Kila la Kheri Wazee wa Ubaya Ubwela
Nabii alisema Kuna Timu Mmoja Itafika mbali ila Moja itaishia Makundii.
Ushindi wa Goli wa 2 Kwako Leo
Pole sana ahahahaJana nilitamani niingie mwenyewe uwanjani nikafunge 😀😀
Mjiandae na lawama..sisemi sana.Unaongoza kundi kimazabe ? Punguza uchungu ujitenge na sonona
Ungeingia Tu na bikini ushind uhakikaJana nilitamani niingie mwenyewe uwanjani nikafunge 😀😀
Ahsante dear, afu mashabiki wao walikua vifua wazi nikatamani kuwatandika ngumi za tumbo😀😀Pole sana ahahaha
Msema kweli huishi maisha marefu...Yanga hii ya German mashine sijawahi kuwa na imani nayo na sitokaa niwe na imani nayo.
Bikini na hii flat screen au ndiyo tungefungwa wiki, bt bikini na mpira vinahusianaje mkuu?Ungeingia Tu na bikini ushind uhakika
Kibu anawaaambia hiviii mechi za ndani kawaachia baada ya kumkanda Diara ule mshuti wa moto..kwa sasa anataka awatoe kamasi waarabu...hahahahahahaahahhahahahahahahahahahahahaha
Kibu anapaswa aape mahakamani na kuahidi kutorudia kutoa adhabu kali kwa makipa wa timu kinzani. Ule ni uuaji kamili.Kibu anawaaambia hiviii mechi za ndani kawaachia baada ya kumkanda Diara ule mshuti wa moto..kwa sasa anataka awatoe kamasi waarabu...hahahahahahaahahhahahahahahahahahahahahaha
Hili nililisema mapema kabisa baada ya yeye kuchukua nafasi ya gamondi.Msema kweli huishi maisha marefu...
Hongera kwa kuusema ukweli
Sawa mwakikundi.Looser cup 😀
Kazi gani hizo hadi jumapili? Dr Janabi mwenyewe afatilia soka wakati muhimbili kuna wagonjwa kibaoWatakaofuatilia mpira wa leo ni jobless
Kwa nini sasa unaichukia timu kubwa kama Simba ilhali timu unayoshabikia ni ndogo kama piriton?Nina raha zote, niko nashushia kinywaji. Jumapili yangu murua.
umenikumbusha kuhusu Gamond... Hivi huyo jamaa yupo wapi kwa sasa?Hili nililisema mapema kabisa baada ya yeye kuchukua nafasi ya gamondi.