kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
DuhNgoja niziachilie hizi mbupu sasa aseeee 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhNgoja niziachilie hizi mbupu sasa aseeee 😂😂
Lefa kapeta tu...Kama offside hivi!!!
Mkuu kwani wanawake nanyie siku hizi mna mbupu? Ama naona makengeza hapa
Hamna offsideAcha uchawi sasa 😂
Baunsa alitangulia kitambo tuLefa kapeta tu...
kungekuwa na VAR lingetazamwa vizuriKama offside hivi!!!
Ndio maana ya Ubaya Ubwela hiyo mkuu.Kama offside hivi!!!
Simba wanawafundisha vyura jinsi ya kuchezw Kimataifa na kumfunga Mwarabu.
View: https://www.instagram.com/p/DFArot8qBst/?igsh=MWZnd2VucnVpdzdjcg==
Sema mwarabu kachoka hata kulalamika hawezikungekuwa na VAR lingetazamwa vizuri
Huku kileleni baridi ni kali sana hata kwa Mnyama 🦁 🦁 🦁.Kwani hamuwezi kushinda mkafurahia tu binafsi
Mpaka mtaje Yanga?
VAR ingekuwepo simba tungepata penati za kutosha kwenye hii michuano. Mechi mbili zilizopita tumenyimwa penati za wazi kabisa za handball.kungekuwa na VAR lingetazamwa vizuri
Na kubutua kunakuja unapokosa utulivu, haihitajiki papara pale.Accuracy hatuna. Tunabutua.