FT: CAFCL - Al Hilal Vs MC Algier | (1-1)

Kikosi cha msimu uliopita cha Mazembe hicho. Golini kipa ni yuleyule, Safu yote ya ulinzi ni walewale, viungo ni walewale isipokuwa baadhi wamewekwa benchi kupisha usajili mpya. Mabadiliko ni safu ya ushambuliaji na waliopo pale ni Mapro na si waliotolewa Don Bosco maana yupo Fofana na wenzie.
 
Katika hicho kikosi wachezaji 7 wa kutegemewa wa first 11 hawapo;
1.OLADAPO
2.TRAORE
3.KINZUMBI
4.LINKONZA
5.BEYA
6.ZEMANGA
7.LUZOLO
 
Msimu uliopita waliishia hatua gani CCL?
Kama shida ni kufungiwa wamefungiwa muda mrefu na kikosi cha msimu uliopita ndo hikihiki
Acha uongo boss, wachezaji watano wa kikosi cha kwanza wameondoka msimu huu.
 
Katika hicho kikosi wachezaji 7 wa kutegemewa wa first 11 hawapo;
1.OLADAPO
2.TRAORE
3.KINZUMBI
4.LINKONZA
5.BEYA
6.ZEMANGA
7.LUZOLO
Walioondoka ni watatu tu na wengine wako benchi. Huyo Zemanga uliyemtaja amoja na Luzolo bado wapo na walicheza kwenye game yao na Yanga. Safu ya ulinzi (kipa na mabeki wake wanne) ipo vilevile, sasa hao wachezaji wako 7 ambao hawapo ni nani na nani!?
SAFU YA ULINZI
1. Badara
2. Keita
3. Radjabu
4. Ntambwe
5. Luzolo

VIUNGO
6. Zemanga

Hao wote walikuwa sehemu ya kikosi cha kwanza cha msimu uliopita kilichotinga nusu final na wengine watatu wapo ila msimu huu hawapo kikosi cha kwanza so mpaka hapo unaona kuwa Mazembe ni ileile na wameboresha zaidi kikosi chao msimu huu, kwa kumleta Fofana kuziba nafasi ya Traore.
Usiwe unaandika bila data.
 
Katika hicho kikosi wachezaji 7 wa kutegemewa wa first 11 hawapo;
1.OLADAPO
2.TRAORE
3.KINZUMBI
4.LINKONZA
5.BEYA
6.ZEMANGA
7.LUZOLO
Luzolo, Zemanga na Beya bado wapo. Kwenye orodha yako ni wanne tu ndo hawapo na kati ya hao ni watatu ndo wameuzwa na mmoja yuko benchi (sub) ambaye ni Beya.
Angalia kikosi hicho dhidi ya Yanga then ona aibu kwa kuandika taarifa za kuokoteza.View attachment 3194112
 
Wameuza wachezaji na wamepigwa ban na FIFA kusajili sasa hivi wanachukua toka academy yao
Wameuza wachezaji wangapi? Nitajie kikosi cha msimu uliopita unitajie na cha msimu huu tuhesabu wachezaji walioondoka.
Kwa taarifa yako wameondoka watatu tu na mbadala wao ulipatikana.
Ndo leo unamuona Fofana pale mbele badala ya Traore. Safu yao ya ulinzi iko vilevile ikiongozwa na kipa yuleyule. Viungo waliondoka wawili na mshambuliaji aliondoka mmoja tu...unataka kusema hilo ndo limeibadilisha Mazembe!? Mbona Yanga aliondoka Mayele, Lomalisa n.k lkn bado ubora wa team ukabaki palepale?
 
KINZUMBI YUPO?
OLADAPO YUPO?
BEYA YUPO?
TRAORE YUPO? HAWA NI WATATU?
 
WAMEONDOKA WA 5.
1.OLADAPO KIUNGO
2.TRAORE MSHAMBULIAJI
3.BEYA BEKI
4.KINZUMBI WINGA
5.LINKONZA BEKI

HAWA WACHEZAJI WA 5 NDIO UTI WA MGONGO WA TP MAZEMBE NA NDIO WALIOIFANYA MAZEMBE IWE BORA

YANGA TOA BAKA,DIARA,YAO,PACOME,NA JOB HALAFU MUONE KAMA MTAMALIZA HATA NAFASI YA 4.
 
YANGA ALIONDOKA MCHEZAJI MMOJA TU MAYELE, LOMALISA HAKUONDOKA ALITEMWA HALAFU UTI WA MGONGO WA YANGA SIO MAYELE UTI WA MGONGO WA YANGA NI DIARA,BAKA,PACOME,AUCHO,MZINZE NA MAX.

UTI WA MGONGO WA MAZEMBE ULIKUWA NI OLADEPO,LINKONZA,KINZUMBI,TRAORE, NA BEYA
 
Hii team imejichokea sana. Jamaa walijichanganya sehemu.siku ile yanga tungewapiga hata 7 au 8. Basi tu. Mazembe yamekuwa mazembe kweli kweli.
 
Msimu uliopita waliishia hatua gani CCL?
Kama shida ni kufungiwa wamefungiwa muda mrefu na kikosi cha msimu uliopita ndo hikihiki
Walicheza shirikisho waliishia nusu mbona vitu vipo wazi mkuu kama unafatilia mpira wachezaji waliouzwa wapo mitandaoni shida nini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…