Sawa kipa ila na ukabaji ni tatizo.Huyu kipa tumepigwa kwa kweli. Dah, hili goli hata mimi sifungwi.
Hahahaaa. Mambo ya asilimia 10 haya Mkuu. πAliyemleta Ayubu Leo Kazi Anayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kimokooooo... Cha mooootoo! Aaah aaahSwahiba kashakula kimoja huko. π€£π€£
AaahaaaaaaSawa bibishosti
Mpira umepita nyuma ya Kennedy ghafla umempita. Si rahisi Sana.Huyu kipa tumepigwa kwa kweli. Dah, hili goli hata mimi sifungwi.
π€£π€£π€£Kimokooooo... Cha mooootoo! Aaah aaah
Hiyo pisi ya power dynamos hapo mmeizingatia lakini ?
Aahaaaaaa,sikupatii picha mkuuuUka karaha furani hivi kutazama game afu timu yako ilicheza jana na iko makundi!
Yan kinywaji kinashuka taratibu bila shida.