Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 anatakiwa ale Redi wachezaji wajisimamie wenyewe 🤣Bahasha zinamtokea puani 🤣🤣🤣
Kabla ya hii mechi wlitaka ajiuzulu, lakini wakamzuiaKocha wa vitalo kaon atulie tu
na yeye anataka afungee maan ishakua kila mtu afunge🤣Max 😎
🤣🤣🤣🤣🤣Bahasha zinamtokea puani 🤣🤣🤣
HI MICHUANO IMEPOTEZA LADHA KABISA
🤣🤣🤣🤣🤣Bahasha zinamtokea puani 🤣🤣🤣
Umemvalia MAWANI mkuu ephen_Max 😎
Muone huyu nae.Vital,O ni timu iliyotoka kwenye nchi iliyoadhirika na vita na mara kwa mara ile nchi haijatulia,hivyo wale wachezaji na uongozi wanamadhara ya kisaikologia kama msongo wa mawazo(stress),maumivu ya moyo,sonona,wasiwasi, n.k ndio maana hata hakuweza kwenda kucheza kwao kwasababu ya kuhofia usalama...
Yanga wanatumia hii advantage (faida)kuwaadhibu wenzao...na timu ambayo inatoka kwenye mazingira kama haya timu yeyote kutoka Tanzania(hata lipuli ya iringa) ingeweza kuibuka mshindi.
Pia kutoka na mazingira kama haya Vital'O wanakosa support ya Washabiki wao,hawana uzoefu na viwanja na hali ya hewa ya Tanzania lazina yanga ingeshinda tu.
Nb.Nasikia viongozi wa yanga huwa wanaenda kuhxnga CUF ili wapangie timu zinazokabiliwa na mazingira kama haya.Eng.Hersi pia anatumia ile nafasi yake ya uongozi kusukuma au kusaidi swala kama hili.
Hapana Yao kwasi na Bacca mbele kule weka belekeTunaomba Aziz ki na pacome wapandishwe ndege haraka wakaisaidie Azam
Vp unataka nawewe wakuBAHASHIEBahasha zinamtokea puani 🤣🤣🤣