Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dada mpika keki nani huyo Saint Anne au KalpanaCc ephen_ salamu zimfikie dada mpika keki nae timu yake ilikula 5 Cc Evelyn Salt
View attachment 3078352
Huyo ambae jina lake linaanzia na saint Nini sijui Cc ephen_Dada mpika keki nani huyo Saint Anne au Kalpana
Sa si tumpe tenda atuletee keki, hii yanga ni ya kuilia keki wallah!!!!
View attachment 3078623
Hapo ndugu yangu Kalpana inafaa apewe tenda Cc ephen_Dada mpika keki nani huyo Saint Anne au Kalpana
Sa si tumpe tenda atuletee keki, hii yanga ni ya kuilia keki wallah!!!!
View attachment 3078623
Tushajua mmepiga bomu mochowariππ
Yanga wana balaa sanaa! Sisi 5imba sijui tutafanyajeTushajua mmepiga bomu mochowariππ
Kaka na wewe tarehe 5 ilikuwaje ukafungwa 5 π€£πTushajua mmepiga bomu mochowariππ
Yanga wana balaa sanaa! Sisi 5imba sijui tutafanyaje
Mbona unaongea kama vile mimi sio SimbaTulia Acha papara simba ni chuo cha mpira , huko tulishatoka.
Kufungwa tano kawaida ukiwa vibaya mwenzako anakutandika , tulisha wapiga 5 4 na 6 , hiyo ni kawaida ila nashangaa nyie mpka mabango ,ushamba tu.Kaka na wewe tarehe 5 ilikuwaje ukafungwa 5 π€£π
6 ilikuwa mwaka Gani πππππ isije mwaka huu mkala nyie hizoKufungwa tano kawaida ukiwa vibaya mwenzako anakutandika , tulisha wapiga 5 4 na 6 , hiyo ni kawaida ila nashangaa nyie mpka mabango ,ushamba tu.
Kumbe una hasira hiviiπ³,ushamba tu.
Bado haujafuzu kubwa mwanachama wa mnyama , kipindi hiki hatutaki wasaliti ππMbona unaongea kama vile mimi sio Simba
No sina hasira πKumbe una hasira hiviiπ³
Kumbe..! Basi acha nibaki zangu Singida big stars na Guede akeeBado haujafuzu kubwa mwanachama wa mnyama , kipindi hiki hatutaki wasaliti ππ
Hilo ni tawi lenu la uto, sio mbayaππKumbe..! Basi acha nibaki zangu Singida big stars na Guede akee
Kawaida ,ila mpira wa kibongo una porojo nyingi uliona wap mdhamini mmoja anadhamini timu nane ndani ya ligi moja?upangaji matokeo ni mkubwa.6 ilikuwa mwaka Gani πππππ isije mwaka huu mkala nyie hizo
π€£πππππKaka mbona Azam nae anadhamini timu 4 ππKawaida ,ila mpira wa kibongo una porojo nyingi uliona wap mdhamini mmoja anadhamini timu nane ndani ya ligi moja?upangaji matokeo ni mkubwa.
Vincenzo Jr tumuache min akee asije kulia bureeKawaida ,ila mpira wa kibongo una porojo nyingi uliona wap mdhamini mmoja anadhamini timu nane ndani ya ligi moja?upangaji matokeo ni mkubwa.
Mpira una porojo nyingi sana siasa maji taka , mpira hauna ladha , wanasiasa wameuvamia , ila yanga mpo vizuri kwenye kilele chenu.π€£πππππKaka mbona Azam nae anadhamini timu 4 ππ