Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #441
πππππ Kabisa min akee timu yake inamuangusha sana yaani sana ππVincenzo Jr tumuache min akee asije kulia buree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ Kabisa min akee timu yake inamuangusha sana yaani sana ππVincenzo Jr tumuache min akee asije kulia buree
Asante sana kakaMpira una porojo nyingi sana siasa maji taka , mpira hauna ladha , wanasiasa wameuvamia , ila yanga mpo vizuri kwenye kilele chenu.
No siwezi lia toka 1997 nimeanza kubwa mshabiki wa simba aseee au nishushe kikosi?Vincenzo Jr tumuache min akee asije kulia buree
Kumbe nabishana na mzee! Mimi mwaka huo ndio dada yangu anazaliwaNo siwezi lia toka 1997 nimeanza kubwa mshabiki wa simba aseee au nishushe kikosi?
Hhahahaha , hapana tunajenga timu yetu wapi imeanguka ?πππππ Kabisa min akee timu yake inamuangusha sana yaani sana ππ
kayf halukWaleikum msalaam π€π€
hahahahahahha vijana nawajua mmeanza kushabikia baada ya beti ya sportpesa ππππKumbe nabishana na mzee! Mimi mwaka huo ndio dada yangu anazaliwa
Kay alete lipa namba tumpe oda
Ndio ndioKay alete lipa namba tumpe oda
UnamsemeaHawezi kuja, maji hata marefu.
Na sie tuliwapiga 9 unakumbukaKufungwa tano kawaida ukiwa vibaya mwenzako anakutandika , tulisha wapiga 5 4 na 6 , hiyo ni kawaida ila nashangaa nyie mpka mabango ,ushamba tu.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.Tena mochwari ya KILAWENI
πππ60 na ngapi mkuu?Na sie tuliwapiga 9 unakumbuka
Yeah....Tukiona gemu haina kasi hiyo ya chama
Gemu ikiwa na kasi chama haanzi
Kila mchezaji anafiti kwa majira yake
Yanga kosi kubwa
Shem hii Yanga ni hatari.Yeah....