FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

Watu tumebeti kuanzia goli nne, halafu nyie mnazungumzia moja tena? Au nihesabu nimeshaliwa tayari?
Hiyo sasa ni juu yako mwenyewe na Wahindi wako. Muhimu kwetu ilikuwa ni kufuzu hatua ya makundi. Na tumefanikiwa kufanya hivyo. Kwa sasa tunaitafuta fainali kwa mara nyingine tena.
 
Unyama Sana .....Yanga ya msimu huu imejipanga hongera kubwaa KWA mashabiki na timu yote kiujumla
 
Kuna watu wanaumia....... msimu ulipita tumeweka rekodi kwa timu ya kwanza kufika fainal (KWA MUJIBU WA CAF),msimu tunakifuta kichaka chao cha robo fainal,sijui wataongea nini baada ya hapo.
Aahaaaa,mguu mmoja ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…