FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

simba kuingia makundi leo ni sawa n ngamia kupita kwenye tundu la sindano...leo paka anauliwa kwa goli moja bila ..
dynamos wanapita, kolo anaenda kuchimba choo
 
Leo nataka niwatafute na kuwajibu waliokua wanaitakia yanga mabaya na ninawajibu bila kujua matokeo ya jana[emoji3][emoji3]
 
Kaka umenielewa au........ bado.Lazima mruhusu goli haya kazi kwenu........
 
Mkuu mpira unabadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika so kwa sasa simba inahitaji ushindi hayo mengine ni ziada tu
Wapo wenzetu wanaotaka pira biliary lakin wajue biliani bila point ni sawa na pank kitimoto jambo ambalo ni gumu sana.
Tayari msharuhusu goli, hukoooo......
 
Mkuu samahani unaelewa maana ya direct football??
Kaka unaiona direct football ball,wakina Ferguson walikuwa na winga wenye speed ,huku Giggs huku Ronaldo kati yupo Scholes wakiupata speed,wewe timu yako imepooza.

Haya mshatanguliwa.
 
Dah! Kwa mpira huu ndugu zangu tarehe 20 Oct nitajifunika blanketi matokeo nijue asubuhi. Robertinyo Hana mbinu. Hadi Sasa sijui first 11 ya Simba ni ipi.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…