Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nioneshe picha kama hii kwanza koloKwani Simba angeruhusu bao mngemfikisha kwenye matuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nioneshe picha kama hii kwanza koloKwani Simba angeruhusu bao mngemfikisha kwenye matuta?
Kwa hiyo ndio likawa goli la tano? 😁😁😁 Unajiingiza kidole halafu unakinusaNioneshe picha kama hii kwanza kolo View attachment 2767990
Mpangeni na leo huyo Ally Salim ktk dk 90, muone kama hayaja tokea ya Mtibwa.Hivi Simba na Yanga hawajakutana msimu huu? Yanga alipata goli ngapi? Ally Salimu ha ha haaa!
Umeongea kwa busara sana hadi umenibadili mawazo, naungana nawe… Tumpe nafasi.Asiondoke ,Bali awe anaingia kipindi Cha pili super sub Kama chicharito,ana safari ndefu ya bado ,awe Kama mayele,akiondoka timu Kama yanga ,atapotea kabisa,tukuze vipaji vya vijana wetu wazawa
Hizo sio kauli za kiungwana we ushalala na alokutoa duniani..Elimika mambo ya mpira yasikutoe ufahamu kiasi hicho au umezaliwa na mwanamke ukalelewa na wavuta madawa!!!!Kalale na mama yako
Mkuu samahani unaelewa maana ya direct football??Siibezi power Dynamo ila ukweli uwezo wa kiwazuia wasipate goli hapa huna na husiombee wakutangulie, omba Mungu Mzamiru amke vizuri kwani zinaweza zika jirudia zile errors kama za Mtibwa walizofanya Che na Kenedy (ndio beki yako utayo anza nayo).
Bila kusahau Shabalala na Kapombe,siku hizi upepo waliokuwa nao sio kama zamani wakipanda kushuka kwa Mbinde,yaani kesho omba Mungu Mzamiru amke vizuri na akibugi tu kumweka benchi kama alivyofabya mechi ya Mtibwa basi mna 80% ya kupigwa.
Sasa ww Penalty nazo unazitumia kupima form ya timu yako,wakati mechi ya juzi statically Yanga kadominate kila kitu.
Kama unaujua mpira na ukiacha mapenzi unaweza kunielewa. Mechi ya juzi Zambia ni uwezo binafsi wa Chama,ila upande form bado mnastrugle.
Direct football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.Mkuu samahani unaelewa maana ya direct football??
Dada yangu una heka heka kama pira la timu yakoYani ndo kwa mbinde hiviii...na hicho kikaptula day ndo kimeishia hivi?
Kama una draw 2-2 na timu ipo pungufu lazima makundi utesekeMakundi kutakuwa na mateso sana
Mpira una tii bila shurutiNioneshe picha kama hii kwanza kolo View attachment 2767990
Kabisa jamaa fundi sana anawaumiza mikia na makolo bin mbumbumbu rohoMpira una tii bila shuruti
Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni LAZIMA turuhusu goli.Siibezi power Dynamo ila ukweli uwezo wa kiwazuia wasipate goli hapa huna na husiombee wakutangulie, omba Mungu Mzamiru amke vizuri kwani zinaweza zika jirudia zile errors kama za Mtibwa walizofanya Che na Kenedy (ndio beki yako utayo anza nayo).
Bila kusahau Shabalala na Kapombe,siku hizi upepo waliokuwa nao sio kama zamani wakipanda kushuka kwa Mbinde,yaani kesho omba Mungu Mzamiru amke vizuri na akibugi tu kumweka benchi kama alivyofabya mechi ya Mtibwa basi mna 80% ya kupigwa.
Sasa ww Penalty nazo unazitumia kupima form ya timu yako,wakati mechi ya juzi statically Yanga kadominate kila kitu.
Kama unaujua mpira na ukiacha mapenzi unaweza kunielewa. Mechi ya juzi Zambia ni uwezo binafsi wa Chama,ila upande form bado mnastrugle.
Makundi gani?Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni LAZIMA turuhusu goli.
Pamoja na kudominate ile game mbona haukuweza kufunga hayo magoli kutokana na ubovu wa backline yetu "kama unavyodai".?
Kama wewe haukuweza kwanini uone kwamba kwa Power Dynamos itakuwa rahisi..?
Kaa utulie usubirie kuona Simba Sc anaingia makundi..!
Direct football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.
Halafu na shangaa leo nyie wakuongelea direct football, maanake nyie wenyewe mnajitambaga mpira wenu wa chini (Lunyasi),ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu kajukwaani "sio mpira wetu".
So kwa hiyo tunakubaliana tunaenda na direct football msimu huu (ngojea nilihifazi jina lako tutakumbushana mbele ya
Mkuu mpira unabadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika so kwa sasa simba inahitaji ushindi hayo mengine ni ziada tuDirect football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.
Halafu na shangaa leo nyie wakuongelea direct football, maanake nyie wenyewe mnajitambaga mpira wenu wa chini (Lunyasi),ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu kajukwaani "sio mpira wetu".
So kwa hiyo tunakubaliana tunaenda na direct football msimu huu (ngojea nilihifazi jina lako tutakumbushana mbele ya safari).
Uliza tena.Makundi gani?
Matokeo ya Simba na Mtibwa yalikuwa Mtibwa 2-4 Simba. Leo yakitokea ya Mtibwa mbona fresh tu! 😁Mpangeni na leo huyo Ally Salim ktk dk 90, muone kama hayaja tokea ya Mtibwa.
Na leo pungent kama mlivyo panga na Mtibwa.Matokeo ya Simba na Mtibwa yalikuwa Mtibwa 2-4 Simba. Leo yakitokea ya Mtibwa mbona fresh tu! 😁
Kwani ww ulifunga ktk dk hizo 90?Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni LAZIMA turuhusu goli.
Pamoja na kudominate ile game mbona haukuweza kufunga hayo magoli kutokana na ubovu wa backline yetu "kama unavyodai".?
Kama wewe haukuweza kwanini uone kwamba kwa Power Dynamos itakuwa rahisi..?
Kaa utulie usubirie kuona Simba Sc anaingia makundi..!