FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

FT: CAFCL: Young Africans SC 1-0 Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023

Kwani Simba angeruhusu bao mngemfikisha kwenye matuta?
Nioneshe picha kama hii kwanza kolo
Screenshot_20230930-235656.jpg
 
Hatuna budi kuwapongeza Yanga kwa kutinga makundi.
Miaka 25 ni mingi sana, kama ni mtoto kazaliwa na kahitimu shahada yake ya kwanza.
Yani kwa msisitizo kama nchi Rais alikuwa Mkapa, kaja JK, Magufuli na kote hawakupata nafasi hiyo.

Ni muhimu wafurahi, inawezekana hili lisijirudie kwa kipindi cha karibuni.

Kongole sana Watani.
 
Asiondoke ,Bali awe anaingia kipindi Cha pili super sub Kama chicharito,ana safari ndefu ya bado ,awe Kama mayele,akiondoka timu Kama yanga ,atapotea kabisa,tukuze vipaji vya vijana wetu wazawa
Umeongea kwa busara sana hadi umenibadili mawazo, naungana nawe… Tumpe nafasi.
 
Siibezi power Dynamo ila ukweli uwezo wa kiwazuia wasipate goli hapa huna na husiombee wakutangulie, omba Mungu Mzamiru amke vizuri kwani zinaweza zika jirudia zile errors kama za Mtibwa walizofanya Che na Kenedy (ndio beki yako utayo anza nayo).

Bila kusahau Shabalala na Kapombe,siku hizi upepo waliokuwa nao sio kama zamani wakipanda kushuka kwa Mbinde,yaani kesho omba Mungu Mzamiru amke vizuri na akibugi tu kumweka benchi kama alivyofabya mechi ya Mtibwa basi mna 80% ya kupigwa.

Sasa ww Penalty nazo unazitumia kupima form ya timu yako,wakati mechi ya juzi statically Yanga kadominate kila kitu.

Kama unaujua mpira na ukiacha mapenzi unaweza kunielewa. Mechi ya juzi Zambia ni uwezo binafsi wa Chama,ila upande form bado mnastrugle.
Mkuu samahani unaelewa maana ya direct football??
 
Mkuu samahani unaelewa maana ya direct football??
Direct football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.

Halafu na shangaa leo nyie wakuongelea direct football, maanake nyie wenyewe mnajitambaga mpira wenu wa chini (Lunyasi),ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu kajukwaani "sio mpira wetu".

So kwa hiyo tunakubaliana tunaenda na direct football msimu huu (ngojea nilihifazi jina lako tutakumbushana mbele ya safari).
 
Siibezi power Dynamo ila ukweli uwezo wa kiwazuia wasipate goli hapa huna na husiombee wakutangulie, omba Mungu Mzamiru amke vizuri kwani zinaweza zika jirudia zile errors kama za Mtibwa walizofanya Che na Kenedy (ndio beki yako utayo anza nayo).

Bila kusahau Shabalala na Kapombe,siku hizi upepo waliokuwa nao sio kama zamani wakipanda kushuka kwa Mbinde,yaani kesho omba Mungu Mzamiru amke vizuri na akibugi tu kumweka benchi kama alivyofabya mechi ya Mtibwa basi mna 80% ya kupigwa.

Sasa ww Penalty nazo unazitumia kupima form ya timu yako,wakati mechi ya juzi statically Yanga kadominate kila kitu.

Kama unaujua mpira na ukiacha mapenzi unaweza kunielewa. Mechi ya juzi Zambia ni uwezo binafsi wa Chama,ila upande form bado mnastrugle.
Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni  LAZIMA turuhusu goli.

Pamoja na kudominate ile game mbona haukuweza kufunga hayo magoli kutokana na ubovu wa backline yetu "kama unavyodai".?

Kama wewe haukuweza kwanini uone kwamba kwa Power Dynamos itakuwa rahisi..?



Kaa utulie usubirie kuona Simba Sc anaingia makundi..!
 
Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni  LAZIMA turuhusu goli.

Pamoja na kudominate ile game mbona haukuweza kufunga hayo magoli kutokana na ubovu wa backline yetu "kama unavyodai".?

Kama wewe haukuweza kwanini uone kwamba kwa Power Dynamos itakuwa rahisi..?



Kaa utulie usubirie kuona Simba Sc anaingia makundi..!
Makundi gani?
 
Direct football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.

Halafu na shangaa leo nyie wakuongelea direct football, maanake nyie wenyewe mnajitambaga mpira wenu wa chini (Lunyasi),ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu kajukwaani "sio mpira wetu".

So kwa hiyo tunakubaliana tunaenda na direct football msimu huu (ngojea nilihifazi jina lako tutakumbushana mbele ya

Direct football with poor defense,naijua direct football na moja ya wataalamu wa hiyo Sir Alex Ferguson na Morinho, sasa angalia hawa enzi zao na na timu ya kwako.

Halafu na shangaa leo nyie wakuongelea direct football, maanake nyie wenyewe mnajitambaga mpira wenu wa chini (Lunyasi),ndio maana kelele zimekuwa nyingi humu kajukwaani "sio mpira wetu".

So kwa hiyo tunakubaliana tunaenda na direct football msimu huu (ngojea nilihifazi jina lako tutakumbushana mbele ya safari).
Mkuu mpira unabadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika so kwa sasa simba inahitaji ushindi hayo mengine ni ziada tu
Wapo wenzetu wanaotaka pira biliary lakin wajue biliani bila point ni sawa na pank kitimoto jambo ambalo ni gumu sana.
 
Sipimi uwezo wa team yangu kwa zile penalty, msingi wa hoja zangu ni ile kauli yako kuwa ni  LAZIMA turuhusu goli.

Pamoja na kudominate ile game mbona haukuweza kufunga hayo magoli kutokana na ubovu wa backline yetu "kama unavyodai".?

Kama wewe haukuweza kwanini uone kwamba kwa Power Dynamos itakuwa rahisi..?



Kaa utulie usubirie kuona Simba Sc anaingia makundi..!
Kwani ww ulifunga ktk dk hizo 90?

Kwani ww mechi ya Dynamo ulipata clean sheet? Kama waliweza kupata goli hata hapa watapata goli.
 
Back
Top Bottom