Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dube atafokewa leo 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndio vifaa vyao vipyaSijui shida nini mpira siuelewi sijui,
uwanja mdogo au
Camera za Azam quality jau au
Hakuna amshaamsha au
Mtangazaji kapoa.
#KILA LA KHERI TIMU YANGU YA PENDWA DAR YOUNG AFRICAN
[emoji1787][emoji1787]Azam tv mmeamua kurusha mechi kwa kutumia infinix hot 10
Ilibidi saizi ziwe 3 hiviShughuli ikiwezekana tuimalize hapa hapa kwa goli hata tatu
Kwel hako katimu hata hakajulikaniIlitakiwa iwe 4 bila hadi sasa.....
🏃🏃🏃Striker ni striker tu, Mpulumelo Dube.
Bikila imenyofolewaNafasi 4,Dube ana score 1 ,Timu ya vipofu
Siangalii mpiraDube atafokewa leo 😂
"Baadhi yenu ni Mbumbumbu."Toa aucho weka kagoma
Toa dude weka dese mukwala.
Hii mechi haipaswi kwenda kitopolo kama hivi.
Tz kwanza
Vip striker wenu anascore moja kwamech ngapiNafasi 4,Dube ana score 1 ,Timu ya vipofu
Mmeanza..!! Kuna timu inajulikana na ilipigwa 5Kwel hako katimu hata hakajulikani
Quality mbovu sanahot 10 inapiga video 4k apo wana tecno Pop 5
Amefokaa yani kachefukwa dube alipomiss goli la wazi kabisaSiangalii mpira
Gamond hajamfokea ??? Mana analeta utoto
Walipgwa tano kina chama na baleke sio simbaMmeanza..!! Kuna timu inajulikana na ilpigwa 5