FT: CR Belouizdad 0 - 0 Al Ahly FC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 16.2.2024

FT: CR Belouizdad 0 - 0 Al Ahly FC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 16.2.2024

Ni nyie hao hao mliyofungwa tano au ni wengine?
Tano tulishafungwa kwenye makundi mara mbili na mmojawapo aliyetufunga hakufuzu robo fainali, sisi tukaenda. Kwa ujumla hapa bongo ni sisi tu tunajua kucheza kikubwa

1708319051430.png
 
Hili kundi ni gumu sana kutabirika, siyo ajabu kuona Medeama akifuzu mwisho wa siku, timu ambayo isiyopigiwa hesabu na watu wengi.
 
Back
Top Bottom