Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ni sisi lakini umeshasema !Kwani nyie sare ya 1-1 kwenye AFL mliipatia ulaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sisi lakini umeshasema !Kwani nyie sare ya 1-1 kwenye AFL mliipatia ulaya?
Ni nyie hao hao mliyofungwa tano au ni wengine?Ni sisi lakini umeshasema !
Kipindi Yanga anafikishana extra time na AlAhly ulikua bado upo kwenu katoro?Ni sisi lakini umeshasema !
Tano tulishafungwa kwenye makundi mara mbili na mmojawapo aliyetufunga hakufuzu robo fainali, sisi tukaenda. Kwa ujumla hapa bongo ni sisi tu tunajua kucheza kikubwaNi nyie hao hao mliyofungwa tano au ni wengine?
Unazungumzia mwaka gani? Mimi nazunguzia Ahly hii ya mwaka huu ya akina Percy Muzi Tau, Kahraba na El ShahatKipindi Yanga anafikishana extra time na AlAhly ulikua bado upo kwenu katoro?