Kama siyo wao vileLeo utopolo wamekuwa wapolee[emoji16][emoji16][emoji16]
Kesho kitaumana.😂😂😂😂
Sisi siyo milima Scars, Sisi ni pipo..!!
Asijemuachia Mshery wataaibika zaidiMwenzake yuko jukwaani anamcheka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitoa uganga na bahasha za GSM yanga ni kama zing zong fc ya kibaha mwendapole
Natuliajee tushafungwa mbilii weeh!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia shouzzz, mpira haujaishaa
Ndyoo muda badoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1783][emoji1783]!
Hatutishikii Muda badooo[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!
Kuna ile goli refa aliwachanganya mabeki wawili wa simba wakaanguka akapeta tukafungwa badala ya kudundisha kama huyu refa wa leo,magoli matatu yalikuwa ya mchongoZile offside za juzi zilizofanya Simba akafungwa leo kibendera haziruhusu
,Karoho kanauma basi hapo wanasimba mnachekeleaa sana, ila tunarudisha[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2nd half mnarudisha na kushinda juu.Natuliajee tushafungwa mbilii weeh!!
Nasubiria tisiniii mie msituchosheee[emoji37][emoji37][emoji1783]!
Acha kunywa mvinyo wa banana huku ukiangalia mechi utawapa Yanga ushindi wa kibanda umiza bwashee 😂 😂
Atakuwa kolo huyo mod wa leoMod acha kiheremswede Yanga ikifungwa chap kubadili matokeo.
Eti wanajikausha😁