Nipe mafuta niwapake ziingie vizuri
Mjuba umeanza fujo 😂😂Kilemba kimependezesha avatar yako
CR belouizdad tunapata kona hapa
Msimu uliopita timu ilipocheza fainali ilitoboa kwa uchawi?Uchawi hautoboi huko?
Kurudisha ndinga kwa Metacha ni kumtafutia Lawama
Nyuma Mwiko ushaelewa Daima Mbele yaan hivyo Nyuma MwikoNdiwo ndiwooo
Kurudisha ndinga kwa Metacha ni kumtafutia Lawama
Kiko wapHuyu kipa wetu huyuuu![emoji848][emoji848][emoji848]
Wanatafuta visingizioMchambuzi lialia mwana Uto lialia kazima kabisa device yake.
Labani og upo wapi mchambuzi wetu?
utafurahishwa kaa kwa kutulia[emoji1][emoji1][emoji1]Walidhani haya mambo ni rahisi rahisi tu...
Nye nye nyingi..
Bado mawili nikalale mimi.