Ndio umeandika nini Sele?Nauliza hivi wananziiii hawajaruka ukuta wakati wa kuingia uwanjani
Tulia hapo we na Mo xtra yako au nikuongeze nyingine hio moja kubwa hujamaliza nikupe ndogo?Kipa wenu pia ni changamoto
Ndio mkuu....Hivi jumapili kutakua na supu tena?
HahahaahahaaaaaaPombe sio chai bwashee ukizidisha utaropoka baadae kwamba wewe ndio bosi mkuu wa Uto ilhali humiliki hata guta, boli lenyewe unaliangalia ukiwa na chupa ya mvinyo wa banana ndani ya kibanda umiza ππ
Metacha adake za ndani tu, hizi zenye presha ni kama anaogopa mechi..Huyu kipa wetu huyuuu!π€π€π€
Wafanye double na za watani zaoNdio mkuu....
ila kila mwana jangwani aje na chapati zake japo hawajasemi idadi ila angalau zianzie mbili.
Ngoja tuone!Metacha adake za ndani tu, hizi zenye presha ni kama anaogopa mechi..
Hii game tumepigwa, kocha kazidiwa kimbinu.
Labani og NALIA NGWENA wazee wa nyuzi nyingi za kukera...πππMchambuzi lialia mwana Uto lialia kazima kabisa device yake.
Labani og upo wapi mchambuzi wetu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jana sait mbeba tofar mwenzangu anaongea kwa ujasiri yanga ataongoza kundi lake nkaona uyu ndo maana tuko naye sait tunabeba tofar awez kuwa na akil timamu shule lazm alikua hamuelew mwalim vzur
Kwan hajapendeza???Mjuba umeanza fujo [emoji23][emoji23]
Unajua walipo?Labani og NALIA NGWENA wazee wa nyuzi nyingi za kukera...πππ