Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Hatimae ile siku tuliyokuwa tukiisubiria imefika, ni bonge la mechi kati ya Azam na Yanga katika fainali ya kombe la shirikisho la CRDB
Mechi hii itachezwa majira ya saa 2:15 usiku pale kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar
Je, nini kitatokea katika mtanange huo wa kukata na shoka?
Kuwa nami hapa kuanzia Mwanzo, Katikati na Mwisho wa mechi hii
#CRDBBankFederationCup #KombeLaShirikisho #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #TFF #AzamFC #YangaSC #AzamvsYanga
----------------------------------------------------------
Updates 1920 Hours
Kikosi cha Yanga: Diara, Yao, Lomalisa, Bacca, Job (C), Aucho, Maxi, Mudathir, Mzize, Aziz Ki na Pacome
Subs: Mshery, Mwamnyeto, Kibabage, Mkude, Sureboy, Shekhan, Farid, Guede, Musonda...
Kocha : Gamondi Miguel / Musa Ndao
----------------------------------------------------------
Kikosi cha Azam: Mohamed, Lusajo (C), Msindo, Fuentes, Bangala, Bin Zayd, Adolf, Sopu, Kipre Jr, Feitoto, Syllah
Subs: Foba, Chilambo, Amoah, Manyama, Akaminko, Sidibe, Nado, Chiwalanga, Kichindo
Kocha : Bruno Ferry/Yusuf Dabo
----------------------------------------------------------
2015 Hours Kick off
01" Yanga wameanzisha mpira hapa
06" Timu bado zinashambuliana kwa zamu, na zinajaribu kusomana
Azam 0 Yanga 0
10" Azam wanashambulia hapa kuelekea Yanga lakini Abdul Sopu anakuwa offside hapa
15" Presha ya shambulizi ni kubwa kwa Azam lakini wanajaribu kuzima Shambulio la Pacome Zouzoua (0-0)
18" Azam wanapata faulo ila inazuiwa na ukuta wa mabeki wa Yanga
23" Sopu Anapiga kona kuelekea Yanga, chupuchupu Mzize ajifunge inakuwa kona tena... azam wanaipiga inaokolewa Yanga wanashambulia Mzize anakosa goli hapa..
27" Aziz Ki anapiga shuti pale lakini Kipa wa Azam anautoa nje kwa ustadi..
30" Aziz Ki anadondoshwa na Adolf, Yanga wanapata faulo inapigwa pale Mustafa Mohamed anaitoa nje..Kona inapigwa wanaokoa Azam
AZM 0 YNG 0
35" Bado ngoma ngumu 0-0, Yanga wanamiliki mpira zaidi, Pacome anakosa umakini ananyang'anywa mpira
41" Azam wanashambulia kwenda Yanga, Beki wa Yanga wanakuwa imara wanazuia shambulizi (0-0)
45" Azam wanashambulia kwenda Yanga..Kipre anaangushwa faulo...Job anapewa kadi njano
3 dakika kuelekea halftime
45+2 Feitoto anamchezea faulo Lomalisa...Njano kadi kwa Feitoto
HALFTIME AZAM 0 YANGA 0
----------------------------------------------------------
Updates 2120 Hours
KIPINDI CHA PILI KIMEANZA
45" Azam wanaanzisha mpira hapa kuelekea Yanga
51 " Lomalisa anamjaribu kipa wa Azam, mpira unaenda nje..Kona fupi inapigwa anaukata Aucho lakini unadakwa
54" Kadi ya njano kwa Mudathir akimuangusha Kipre kwa kushirikiana na Aucho
61" Yanga wanapata faulo baada ya pacome kuangushwa na Msindo..Faulo inapigwa inaokolewa
67" Yao anarusha mpira kuelekea Azam, naona Aziz ki hajaelewana na Yao mpira unaenda nje..Goal kick
-Yanga wanarudi tena, wanashambulia...Maxiiii anatoa mpira njee
72" Vijana wa Azam wanaelekea lango la Yanga, Lusajo anapiga krosi kuuubwa inaenda nje..Azam wamekosa utulivu
74" Msindo Pasco anaonyeshwa kadi njano kwa kumdondosha Yao.. Freekick kuelekea Azam.. Inapigwa pale na Ki Aziz anatafuta angle ya goli lakini inashindikana mpira nje
75" Guede anaingia kuchukua nafasi ya Mzize
78" Mustafa kipa wa Azam yupo chini na anaonyeshwa kadi ya njano kwa kupoteza muda huku akizuga kaumia kumbe sio
83" Azam kwa kasi wanashambulia...Msindo wa Azam anapiga shuti na mguu wa kulia linakwenda nje inakuwa goal kick (AZM 0 YNG 0)
88" Akaminko James wa Azam anaingia anamtoa Bin Zayd
Mudathir wa Yanga anatoka, Musonda anaingia
89" Maxi Nzengeli anakosa goli hapa mpira unaenda nje
90" Dakika nne za nyongeza bado ngoma ngumu 0-0
90+2" Mwaikenda anapata kadi njano kwa kumzonga mwamuzi, Azam wanapata nafasi lakini Djigui Anazuia
90+4 MKUDE ndani, Maxi Nje..wakati huo Aziz ki anamsukuma Msindo wa Azam..Freekick
Dakika 90 zimeisha Azam 0 Yanga 0
Twende Dakika 30 za nyongeza hadi tupate mshindi, asipopatikana kwenye hizi 30 Dakika tutakwenda kwenye changamoto ya mikwaju ya Penalti
----------------------------------------------------------
UPDATES 2220 HOURS
EXTRA TIME
90" AZAM wanaanzisha boli hapa tena
91" Yanga wanapata kona, Guede anapiga kichwa unawahiwa na Mustafa Kipa wa azam
95" Guede Offside wakati huo Sopu yupo chini aliangushwa na Aucho... Sopu anatolewa na machela
Kocha Gamondi anaonyeshwa Yellow card
99" Guede na Mustafa wanazozana hapa, Kadi njano kwa Guede J.
100" Sopu nje, Nado ndani anaingia (azam 0- Yanga 0)
103" Adolf anamsukuma Guede, anaonyeshwa kadi njano vilevile kocha wa makipa wa azam nae kadi njano
105" Dakika moja ya nyongeza kukamilisha 15 za kwanza kwenye 30 za nyongeza
Azam wanapata kona baada ya feitoto kushambulia, Nado anaipiga wanashambulia Diara anaiwahii
105+1 " HALFTIME ya dakika 30 za nyongeza AZAM 0 YANGA 0
----------------------------------------------------------
Updates 2235 Hours
105+. " Kipindi cha pili cha muda wa nyongeza kumalizia 30 kinaanza kwa Yanga kusukuma gozi lile la ng'ombe
107" Yao Kwasi anapiga kona kuelekea Azam , Baca anapiga mpira kwa kichwa ila Mustafa anaudaka na anaanguka chini hapa inaonekana kama kaumia
110" Sidibe na Manyama Edo wanaingia kwa Azam... Msindo na Bangala wanaenda nje
113" Bado dakika 7 mpira uishe, Syla wa azam anawekwa chini, Freekick
116" Yanga haraka haraka wanaonana pale Katikati..Yao anashambulia mpira unatoka unakuwa wa kurushwa
118" Lomalisa wa Yanga nje, Mwamnyeto Ndani bado ngoma ngumu hakuna goli
119" Siddibe anapiga kona kuelekea Yanga, in swing corner ile inaenda nje
120+1" Mpira umeisha AZAM 0-0 YANGA, tunakwenda kwenye changamoto mikwaju ya Penalti
----------------------------------------------------------
UPDATES
2300 HOURS Manahodha wa timu zote wanaitwa kwenda kuamua goli la kupigia penalti na nani aanze
Refa anawapa semina kidogo makipa wote wawili
MIKWAJU 5 YA PENALTI
Wanaanza Yanga
Aziz Ki [emoji777] anakosa
Azam wanafuata
Adolf [emoji3514] Anapata
Yanga 0 Azam 1
Guede [emoji777] anakosa
Yanga wamekosa penalti ya 2
Sidibe wa Azam [emoji3581] anapata
Pacome wa Yanga [emoji736] Anapata
Fuentes wa Azam anapiga penalti ya 3 [emoji777] anakosa
Yao Kwasi wa Yanga [emoji736] anapata
2_2
Syla wa Azam anapiga penalti ya 4 [emoji777] anakosa
Mwamnyeto wa Yanga [emoji736] kapata
2-3
Kipre Jr anaenda kupiga ya 5 mwisho [emoji736] kapata
3_3
Aucho wa Yanga [emoji736] kapata
3_4
Manyama wa Azam [emoji736] kapata
4_4 wamekosa 2 wote
Musonda wa Yanga [emoji736] kapata
4-5
Feitoto wa Azam [emoji736] kapata
5-5
Baca wa Yanga [emoji777] kakosa
Lusajo wa Azam [emoji777] kakosa
5-5
Mkude wa Yanga [emoji736] kapata penalti ya 9
Nado wa Azam [emoji777] kakosa penalti ya 9
AZAM FC 5 - YANGA SC 6
FULL TIME 0-0
After Penalties (AZAM 5 YOUNG AFRICANS 6)
2320 Hours Mpira umeisha
Dar es salaam Young Africans ni mabingwa wa CRDB FEDERATION CUP 2023/2024
2330 Hours' Man of the Match ni Ibrahim Abdullah Bacca wa Yanga anapewa zawadi ya Kitita cha Tsh 1,000,000/=
2335 Hours
Legend wa Yanga na Zanzibar, Abdi Kassim "Babi" anampeleka Mwali (kombe) kwenye jukwaa la medali
wakati huo ballboys wanapiga picha ya ukumbusho
2338 Hours
Warembo waliovaa nguo za kijani wanapeleka medali pale kwenye jukwaa, wanaanza Waamuzi wa mechi ya leo wakiongozwa na Arajiga Ahmed... Wanamaliza wanapiga picha ya ukumbusho pia
2343 Hours
Azam wanapanda jukwaani kuvaa medali za nafasi ya pili
2345 Hours
Yanga mabingwa wanaitwa kuelekea jukwaani kupewa Zawadi ya kombe pamoja na medali wakiongozwa na Msheri
2348 Hours
KARIA ANAMPA WAZIRI WA MICHEZO WA ZANZIBAR na WAZIRI NDUMBARO DAMAS nao wa pamoja wanamkabidhi Mwamnyeto kombe hilohilo
YANGA WANAKABIDHIWA KOMBE KUPITIA BAKARI MWAMNYETO NA WANANYANYUA KWAPA KUSHEREHEKEA USHINDI WAO...[emoji1628][emoji471][emoji322][emoji323][emoji3455]
----------------------------------------------------------
Asanteni kwa kuwa nami kuanzia mwanzo, kati na mwisho wa huu mchezo [emoji120]
Hongereni Yanga kwa ushindi, Azam pia hongereni kwa kuwapa Yanga ushindani..jipangeni msimu ujao!
NB: Sikio halizidi kichwa, MKUBWA NI MKUBWA TU.
GAME OVER!
Mechi hii itachezwa majira ya saa 2:15 usiku pale kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar
Je, nini kitatokea katika mtanange huo wa kukata na shoka?
Kuwa nami hapa kuanzia Mwanzo, Katikati na Mwisho wa mechi hii
#CRDBBankFederationCup #KombeLaShirikisho #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #TFF #AzamFC #YangaSC #AzamvsYanga
----------------------------------------------------------
Updates 1920 Hours
Kikosi cha Yanga: Diara, Yao, Lomalisa, Bacca, Job (C), Aucho, Maxi, Mudathir, Mzize, Aziz Ki na Pacome
Subs: Mshery, Mwamnyeto, Kibabage, Mkude, Sureboy, Shekhan, Farid, Guede, Musonda...
Kocha : Gamondi Miguel / Musa Ndao
----------------------------------------------------------
Kikosi cha Azam: Mohamed, Lusajo (C), Msindo, Fuentes, Bangala, Bin Zayd, Adolf, Sopu, Kipre Jr, Feitoto, Syllah
Subs: Foba, Chilambo, Amoah, Manyama, Akaminko, Sidibe, Nado, Chiwalanga, Kichindo
Kocha : Bruno Ferry/Yusuf Dabo
----------------------------------------------------------
2015 Hours Kick off
01" Yanga wameanzisha mpira hapa
06" Timu bado zinashambuliana kwa zamu, na zinajaribu kusomana
Azam 0 Yanga 0
10" Azam wanashambulia hapa kuelekea Yanga lakini Abdul Sopu anakuwa offside hapa
15" Presha ya shambulizi ni kubwa kwa Azam lakini wanajaribu kuzima Shambulio la Pacome Zouzoua (0-0)
18" Azam wanapata faulo ila inazuiwa na ukuta wa mabeki wa Yanga
23" Sopu Anapiga kona kuelekea Yanga, chupuchupu Mzize ajifunge inakuwa kona tena... azam wanaipiga inaokolewa Yanga wanashambulia Mzize anakosa goli hapa..
27" Aziz Ki anapiga shuti pale lakini Kipa wa Azam anautoa nje kwa ustadi..
30" Aziz Ki anadondoshwa na Adolf, Yanga wanapata faulo inapigwa pale Mustafa Mohamed anaitoa nje..Kona inapigwa wanaokoa Azam
AZM 0 YNG 0
35" Bado ngoma ngumu 0-0, Yanga wanamiliki mpira zaidi, Pacome anakosa umakini ananyang'anywa mpira
41" Azam wanashambulia kwenda Yanga, Beki wa Yanga wanakuwa imara wanazuia shambulizi (0-0)
45" Azam wanashambulia kwenda Yanga..Kipre anaangushwa faulo...Job anapewa kadi njano
3 dakika kuelekea halftime
45+2 Feitoto anamchezea faulo Lomalisa...Njano kadi kwa Feitoto
HALFTIME AZAM 0 YANGA 0
----------------------------------------------------------
Updates 2120 Hours
KIPINDI CHA PILI KIMEANZA
45" Azam wanaanzisha mpira hapa kuelekea Yanga
51 " Lomalisa anamjaribu kipa wa Azam, mpira unaenda nje..Kona fupi inapigwa anaukata Aucho lakini unadakwa
54" Kadi ya njano kwa Mudathir akimuangusha Kipre kwa kushirikiana na Aucho
61" Yanga wanapata faulo baada ya pacome kuangushwa na Msindo..Faulo inapigwa inaokolewa
67" Yao anarusha mpira kuelekea Azam, naona Aziz ki hajaelewana na Yao mpira unaenda nje..Goal kick
-Yanga wanarudi tena, wanashambulia...Maxiiii anatoa mpira njee
72" Vijana wa Azam wanaelekea lango la Yanga, Lusajo anapiga krosi kuuubwa inaenda nje..Azam wamekosa utulivu
74" Msindo Pasco anaonyeshwa kadi njano kwa kumdondosha Yao.. Freekick kuelekea Azam.. Inapigwa pale na Ki Aziz anatafuta angle ya goli lakini inashindikana mpira nje
75" Guede anaingia kuchukua nafasi ya Mzize
78" Mustafa kipa wa Azam yupo chini na anaonyeshwa kadi ya njano kwa kupoteza muda huku akizuga kaumia kumbe sio
83" Azam kwa kasi wanashambulia...Msindo wa Azam anapiga shuti na mguu wa kulia linakwenda nje inakuwa goal kick (AZM 0 YNG 0)
88" Akaminko James wa Azam anaingia anamtoa Bin Zayd
Mudathir wa Yanga anatoka, Musonda anaingia
89" Maxi Nzengeli anakosa goli hapa mpira unaenda nje
90" Dakika nne za nyongeza bado ngoma ngumu 0-0
90+2" Mwaikenda anapata kadi njano kwa kumzonga mwamuzi, Azam wanapata nafasi lakini Djigui Anazuia
90+4 MKUDE ndani, Maxi Nje..wakati huo Aziz ki anamsukuma Msindo wa Azam..Freekick
Dakika 90 zimeisha Azam 0 Yanga 0
Twende Dakika 30 za nyongeza hadi tupate mshindi, asipopatikana kwenye hizi 30 Dakika tutakwenda kwenye changamoto ya mikwaju ya Penalti
----------------------------------------------------------
UPDATES 2220 HOURS
EXTRA TIME
90" AZAM wanaanzisha boli hapa tena
91" Yanga wanapata kona, Guede anapiga kichwa unawahiwa na Mustafa Kipa wa azam
95" Guede Offside wakati huo Sopu yupo chini aliangushwa na Aucho... Sopu anatolewa na machela
Kocha Gamondi anaonyeshwa Yellow card
99" Guede na Mustafa wanazozana hapa, Kadi njano kwa Guede J.
100" Sopu nje, Nado ndani anaingia (azam 0- Yanga 0)
103" Adolf anamsukuma Guede, anaonyeshwa kadi njano vilevile kocha wa makipa wa azam nae kadi njano
105" Dakika moja ya nyongeza kukamilisha 15 za kwanza kwenye 30 za nyongeza
Azam wanapata kona baada ya feitoto kushambulia, Nado anaipiga wanashambulia Diara anaiwahii
105+1 " HALFTIME ya dakika 30 za nyongeza AZAM 0 YANGA 0
----------------------------------------------------------
Updates 2235 Hours
105+. " Kipindi cha pili cha muda wa nyongeza kumalizia 30 kinaanza kwa Yanga kusukuma gozi lile la ng'ombe
107" Yao Kwasi anapiga kona kuelekea Azam , Baca anapiga mpira kwa kichwa ila Mustafa anaudaka na anaanguka chini hapa inaonekana kama kaumia
110" Sidibe na Manyama Edo wanaingia kwa Azam... Msindo na Bangala wanaenda nje
113" Bado dakika 7 mpira uishe, Syla wa azam anawekwa chini, Freekick
116" Yanga haraka haraka wanaonana pale Katikati..Yao anashambulia mpira unatoka unakuwa wa kurushwa
118" Lomalisa wa Yanga nje, Mwamnyeto Ndani bado ngoma ngumu hakuna goli
119" Siddibe anapiga kona kuelekea Yanga, in swing corner ile inaenda nje
120+1" Mpira umeisha AZAM 0-0 YANGA, tunakwenda kwenye changamoto mikwaju ya Penalti
----------------------------------------------------------
UPDATES
2300 HOURS Manahodha wa timu zote wanaitwa kwenda kuamua goli la kupigia penalti na nani aanze
Refa anawapa semina kidogo makipa wote wawili
MIKWAJU 5 YA PENALTI
Wanaanza Yanga
Aziz Ki [emoji777] anakosa
Azam wanafuata
Adolf [emoji3514] Anapata
Yanga 0 Azam 1
Guede [emoji777] anakosa
Yanga wamekosa penalti ya 2
Sidibe wa Azam [emoji3581] anapata
Pacome wa Yanga [emoji736] Anapata
Fuentes wa Azam anapiga penalti ya 3 [emoji777] anakosa
Yao Kwasi wa Yanga [emoji736] anapata
2_2
Syla wa Azam anapiga penalti ya 4 [emoji777] anakosa
Mwamnyeto wa Yanga [emoji736] kapata
2-3
Kipre Jr anaenda kupiga ya 5 mwisho [emoji736] kapata
3_3
Aucho wa Yanga [emoji736] kapata
3_4
Manyama wa Azam [emoji736] kapata
4_4 wamekosa 2 wote
Musonda wa Yanga [emoji736] kapata
4-5
Feitoto wa Azam [emoji736] kapata
5-5
Baca wa Yanga [emoji777] kakosa
Lusajo wa Azam [emoji777] kakosa
5-5
Mkude wa Yanga [emoji736] kapata penalti ya 9
Nado wa Azam [emoji777] kakosa penalti ya 9
AZAM FC 5 - YANGA SC 6
FULL TIME 0-0
After Penalties (AZAM 5 YOUNG AFRICANS 6)
2320 Hours Mpira umeisha
Dar es salaam Young Africans ni mabingwa wa CRDB FEDERATION CUP 2023/2024
2330 Hours' Man of the Match ni Ibrahim Abdullah Bacca wa Yanga anapewa zawadi ya Kitita cha Tsh 1,000,000/=
2335 Hours
Legend wa Yanga na Zanzibar, Abdi Kassim "Babi" anampeleka Mwali (kombe) kwenye jukwaa la medali
wakati huo ballboys wanapiga picha ya ukumbusho
2338 Hours
Warembo waliovaa nguo za kijani wanapeleka medali pale kwenye jukwaa, wanaanza Waamuzi wa mechi ya leo wakiongozwa na Arajiga Ahmed... Wanamaliza wanapiga picha ya ukumbusho pia
2343 Hours
Azam wanapanda jukwaani kuvaa medali za nafasi ya pili
2345 Hours
Yanga mabingwa wanaitwa kuelekea jukwaani kupewa Zawadi ya kombe pamoja na medali wakiongozwa na Msheri
2348 Hours
KARIA ANAMPA WAZIRI WA MICHEZO WA ZANZIBAR na WAZIRI NDUMBARO DAMAS nao wa pamoja wanamkabidhi Mwamnyeto kombe hilohilo
YANGA WANAKABIDHIWA KOMBE KUPITIA BAKARI MWAMNYETO NA WANANYANYUA KWAPA KUSHEREHEKEA USHINDI WAO...[emoji1628][emoji471][emoji322][emoji323][emoji3455]
----------------------------------------------------------
Asanteni kwa kuwa nami kuanzia mwanzo, kati na mwisho wa huu mchezo [emoji120]
Hongereni Yanga kwa ushindi, Azam pia hongereni kwa kuwapa Yanga ushindani..jipangeni msimu ujao!
NB: Sikio halizidi kichwa, MKUBWA NI MKUBWA TU.
GAME OVER!