Corner nyingine wanapata Azam Fc
NakaziaHawa azam wamekwiva ila yanga ni kama real madrid😎
💚💛💚💛
Wewe umekaa unakunywa pombe za majitaka, utajaziwa mikojo yako ulewe zaidi leo Makolo FcAcha maneno mbofu mbofu jombaa
Nasikia kelele kuna Nini?Kona ingine
Yanga anaweza akafa nae leo...Ndani ya siku hizi mbili Yellow nation tumekuwa na wakati mgumu sana Jana Al Nasr kapigwa na Mda si mrefu Dortmund kapigwa Sasa ni Yanga pekee kwenye Yellow nation duniani aliebaki kuokoa jahazi
KeleleNasikia kelele kuna Nini?
Mzize kakosa goli la waziNasikia kelele kuna Nini?